Tuwekee picha au video ya msanii mwengine ambaye watoto waliacha kucheza mpira na kwenda kumuangalia yeye ............Maana hadi watoto wamejua uwepo wao basi wanajulikana sana tena sana.Tena wengi wao ni watoto, waliacha kucheza mpira uwanjani kwenda kumwangalia Ray na Harmonise.
Harmonize anayo 1,Rayvann anayo 1 na Rich anazo 2 vipi,unaona majumba na magari na pesa walizonazo hazilingani ????Hivi hao wanamuziki wana nyimbo ngapingapi?
Waache kuigiza badala yake wavae uhalisia.Kwa hapa tulipofikia; tunaweza kuwapumzisha Chibu na Ali Kiba na bado Watanzania wakaendelea kusumbua na kuwa top kwenye ukanda huu! Bado naililia Bongo Movie... sijui lini ita-take over.
[emoji121]Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli
Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini Burundi huwaambii kitu kuhusu hawa madogo maana walivyopokelewa utadhani ulikuwa msafara wa Barack Obama ,sasa hapo wameenda watoto je angeenda baba la baba Chibu dee Diamond platinums ingekuaje????
View attachment 406273
View attachment 406274
Hata hapa wanakubalika sema hili swala la teams ndio linatia chokochokoAisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli
Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini Burundi huwaambii kitu kuhusu hawa madogo maana walivyopokelewa utadhani ulikuwa msafara wa Barack Obama ,sasa hapo wameenda watoto je angeenda baba la baba Chibu dee Diamond platinums ingekuaje????
View attachment 406273
View attachment 406274
Hahahahaaa umeanza, uwanjani napo walikuwa watu kumi?Sasa hao watu 10 ndio wa kutuanzishia thread?
Nimeongelea habari tuliyoletewa ya mapokezi mama.Hahahahaaa umeanza, uwanjani napo walikuwa watu kumi?
hongera mkuu.. mitaa ipi buyenzi,bwiza, kamenge au chibitoke???
Buyenzi mkuu 3/39
nime pamiss sana pande hizo
Kumbe wewe ni foreigner!Bujumbura ndo nyumbani nakumbuka nchi yangu insha'allah nitarudi home
niko foreigner apa sauzi mkuuKumbe wewe ni foreigner!
Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli
Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini Burundi huwaambii kitu kuhusu hawa madogo maana walivyopokelewa utadhani ulikuwa msafara wa Barack Obama ,sasa hapo wameenda watoto je angeenda baba la baba Chibu dee Diamond platinums ingekuaje????
View attachment 406273
View attachment 406274