Unataka tuanzishe nini kiongozi?!Tuanzishe sasa mimi na ww kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka tuanzishe nini kiongozi?!Tuanzishe sasa mimi na ww kaka
Revolution tuliteke soko la Bongo movies kimyaa mnoo bongo moviesUnataka tuanzishe nini kiongozi?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha hance sasa hapo umeanza kutupotosha wenzio sasa hao watoto si wa kitaaa tuu hata huku kwetu wamejaa we pita tu kitaa flan cha kiswaz na kitu cha kushamgaza utaona watakao jaa ni kina nani ka sio watoto na wanawake wasio na lazi
Hivi we jamaa unaujua msafara wa Barack Obama? Acheni kufananisha magimbi na keki ya harusi!Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli
Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini Burundi huwaambii kitu kuhusu hawa madogo maana walivyopokelewa utadhani ulikuwa msafara wa Barack Obama ,sasa hapo wameenda watoto je angeenda baba la baba Chibu dee Diamond platinums ingekuaje????
View attachment 406273
View attachment 406274
Basi poa kiongozi lakini kuliteka soko la Bongo Movie ni process!Revolution tuliteke soko la Bongo movies kimyaa mnoo bongo movies
Nasikia Bongo Muvi Wanataka Kumkodi DiamondKwa hapa tulipofikia; tunaweza kuwapumzisha Chibu na Ali Kiba na bado Watanzania wakaendelea kusumbua na kuwa top kwenye ukanda huu! Bado naililia Bongo Movie... sijui lini ita-take over.
hongera mkuu.. mitaa ipi buyenzi,bwiza, kamenge au chibitoke???Bujumbura ndo nyumbani nakumbuka nchi yangu insha'allah nitarudi home
Atauza lakini sio permanent solution!Nasikia Bongo Muvi Wanataka Kumkodi Diamond
We miss you KanumbaKwa hapa tulipofikia; tunaweza kuwapumzisha Chibu na Ali Kiba na bado Watanzania wakaendelea kusumbua na kuwa top kwenye ukanda huu! Bado naililia Bongo Movie... sijui lini ita-take over.
Lkn bro si mliiua makusudi ili bongo fleva ije juu na nnaona mnaivutia kasi Singeli nayo muimalize kama mlivyofanikiwa kwa mduara ule wa akina solo thang unaukumbuka lkn ulivyokua juu nao mkautengua kiuno? Ila Kama watasikia hao wasanii wasi side na Clouds waende Efm ambao wapo Real kwa SingeliKwa hapa tulipofikia; tunaweza kuwapumzisha Chibu na Ali Kiba na bado Watanzania wakaendelea kusumbua na kuwa top kwenye ukanda huu! Bado naililia Bongo Movie... sijui lini ita-take over.
Shark bhana, unakua kama umeanza kufuatilia burudani juzi!! "Tuliiua" makusudi Bongo Movie, au?! Kama mduara "tumeuua" sisi; nani kaiua Taarabu, Chakacha, Culture n.k?! Nani kaiua Bolingo na Jazz Africa? Nani kaiua ragga maffin duniani?! Nani kaiua reggae na blues?! Hizo nazo "tumeziua sisi", au?!Lkn bro si mliiua makusudi ili bongo fleva ije juu na nnaona mnaivutia kasi Singeli nayo muimalize kama mlivyofanikiwa kwa mduara ule wa akina solo thang unaukumbuka lkn ulivyokua juu nao mkautengua kiuno? Ila Kama watasikia hao wasanii wasi side na Clouds waende Efm a8mbao wapo Real kwa Singeli
Acha uongo wewe,weka video au picha tuone kinyume na hivo wewe ni mzushi.Hata anti Ezekiel alipokelewa na umati huo huo. Huko Burundi tangu wajue Kiswahili star yoyote wa bongo wanpokea hvy hvy just rudi nyuma kwa blue,Mr nice, kalori etc
Tena wengi wao ni watoto, waliacha kucheza mpira uwanjani kwenda kumwangalia Ray na Harmonise.A
hha haaah na magari mawili jamaa anakwambia kama Obama