Amaan Stadium ni mbovu, kama kuna upigaji watu wawajibishwe

Amaan Stadium ni mbovu, kama kuna upigaji watu wawajibishwe

kuna mtu aliwahi kuniambia mwinyi ni moja ya mafisadi wakubwa nchini, anyway yeye na kayemba wake wameshika nchi kwa sasa
 
Kuna kitu kinatengenezwa pale Kigali kwa jina la Amahoro stadium, aisee ni kama Emirates vile!!

Kuna la kujifunza kwa majirani.
 
kuna ule uwanja wa tff wa karume unatia kinyaa nikajiuliza hawa ndio kwa kushirikiana na viongozi wa bodi ya ligi wanafungia viwanja vibovu?
 
Kumekuwa na hali ya kuupamba sana huu uwanja uliofanyiwa ukarabati wa Amaan Stadium hapa Zanzibar, kwakweli bila kupepesa macho wameshindwa kwenda na mabadiliko na maendeleo ya sasa katika sekta ya michezo Duniani.

1. Eneo la kuchezea (pitch) haliendani kabisa na zile mbwembwe tulizoziona, quality ni ndogo kwakweli.

2. Taa bado ni tatizo,nikajua zitakuwa kama zile zilizofungwa MKAPA STADIUM angalau zikaribie basi,..yaani taa kama za KAITABA unaona vivuli vinne vinne.

SMZ kwa hapa mmechemka ,kama kuna upigaji chukueni hatua ila kama ndio halali yake vile basi JIPANGENI TENA.


View attachment 2857395
Tanganyika italipa tena....
 
Back
Top Bottom