Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?

Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?

Karume na upinzani Zanzibar wakabila mno . Zanzibar akishika mwarabu mpemba au mtoto wa mwarabu mpemba serikali ya umoja wa kitaifa huwezekana akishika Mswahili ngozi nyeusi hata awe mpemba Kama Dr Sheiin Zanzibar haikaliki na hawataki serikali ya umoja wa kitaifa

Mfano Karume Mama yake ni mwarabu mpemba alioshika uraisi Maalim Seif Mtoto wa mwarabu mpemba akaacha vituko akaingia serikali ya umoja wa kitaifa maana waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba

Aliyemtangulia Karume Raisi Salmin Amour Mswahili ngozi nyeusi Maalim Seif mwarabu mpemba alimsumbua kweli kweli sio utani na hakutaka serikali ya umoja wa kitaifa naye

Raisi Mwinyi mzee baba yake Raisi Mwinyi wa Sasa alikuwa Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa waswahili ngozi Nyeusi wapemba walimsumbua mno

Abdul wakil Mswahili vile vile walimsumbua kisa mtoto wa wazazi waswahili

Sasa huyu Raisi mwinyi wa Sasa Ni mtoto wa Mama asili ya kiarabu mama Siti Mwinyi hapo wapemba waarabu meno nje Maalim Seif akakubali serikali ya umoja wa kitaifa na mtoto wa mwarabu mwenzao!!!

Karume alikubalika kwa wapemba sababu Mama yake Mwarabu ndio maana anajitia kushangaa eti kwani wanamshangaa Maalim Seif mwarabu mwenzie!!!

ukabila Zanzibar mkali mno kuliko bara
 
Nilishangaa hata wana CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, niliwauliza kwani hawa wenzetu si Watanzania? Hawataki haki na usawa? Niliwaambia Maalim Seif ni mtu muungwana kuliko hata walivyokuwa wakimuona na kumpa majina mabaya
Ccm wana undugu na shetani, ukiwakuta kwenye nyumba za ibada utadhani Malaika
 
Karume na upinzani Zanzibar wakabila mno . Zanzibar akishika mwarabu mpemba au mtoto wa mwarabu mpemba serikali ya umoja wa kitaifa huwezekana akishika Mswahili ngozi nyeusi hata awe mpemba Kama Dr Sheiin Zanzibar haikaliki na hawataki serikali ya umoja wa kitaifa

Mfano Karume Mama yake ni mwarabu mpemba alioshika uraisi Maalim Seif Mtoto wa mwarabu mpemba akaacha vituko akaingia serikali ya umoja wa kitaifa maana waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba

Aliyemtangulia Karume Raisi Salmin Amour Mswahili ngozi nyeusi Maalim Seif mwarabu mpemba alimsumbua kweli kweli sio utani na hakutaka serikali ya umoja wa kitaifa naye

Raisi Mwinyi mzee baba yake Raisi Mwinyi wa Sasa alikuwa Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa waswahili ngozi Nyeusi wapemba walimsumbua mno

Abdul wakil Mswahili vile vile walimsumbua kisa mtoto wa wazazi waswahili

Sasa huyu Raisi mwinyi wa Sasa Ni mtoto wa Mama asiki ya kiarabu mama Siti Mwinyi hapo wapemba waarabu meno nje Maalim Seif akakubali serikali ya umoja wa kitaifa na mtoto wa mwarabu mwenzao!!!

Karume alikubalika kwa wapemba sababu Mama yake Mwarabu ndio maana anajitia kushangaa eti kwani wanamshangaa Maalim Seif mwarabu mwenzie!!!

ukabila Zanzibar mkali mno kuliko bara
Kama ni "ukabila" basi ni ma-CCM yenye ngpzi nyeusi kule ZNZ ndiyo yanaongoza kwa ubaguzi...

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndio hata baada ya miaka 60 ya uhuru, bado yanakumbushia habari ya Izbu!!

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi, ndiyo yamekuwa yakisema Uhuru wa Zanzibar ulipatikana kwa mapinduzi na KATU hawawezi kuachia serikali kwa njia ya karatasi

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo yalikuwa yanahakikisha Salim Ahmed Salim hapati nafasi ya urais Tanzania kwa kigezo kile kile kwamba, SAS ni Izbu!!

Ni haya ma-CCM ya rangi nyeusi na itikadi zao mfu za ASP ndio yalifanya Wafuasi wa Umma Party wasifurahie uhuru wa nchi yao ingawaje walijitoa sana katika kuhakikisha mapinduzi yanafanyika!

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo yanagawa wa-Zanzibar kwa misingi ya rangi...

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo yalikuwa yanaeneza propaganda kwamba CUF ingeshinda, basi Mwarabu angerejea Zanzibar!

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo huku bara yakawa yanaeneza propaganda kwamba CUF ni Chama cha Waislamu, na CHADEMA ni Chama cha Wakristo na Wachaga!!!

Jezi.png
 
%23HABARI__Rais_Mstaafu_wa_Zanzibar%2C_Amani_Abeid_Karume_amesema_miongoni_mwa_mambo_yaliyowah...jpg


Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .

Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
 
Kama ni "ukabila" basi ni ma-CCM yenye ngpzi nyeusi kule ZNZ ndiyo yanaongoza kwa ubaguzi...

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndio hata baada ya miaka 60 ya uhuru, bado yanakumbushia habari ya Izbu!!

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi, ndiyo yamekuwa yakisema Uhuru wa Zanzibar ulipatikana kwa mapinduzi na KATU hawawezi kuachia serikali kwa njia ya karatasi

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo yalikuwa yanahakikisha Salim Ahmed Salim hapati nafasi ya urais Tanzania kwa kigezo kile kile kwamba, SAS ni Izbu!!

Ni haya ma-CCM ya rangi nyeusi na itikadi zao mfu za ASP ndio yalifanya Wafuasi wa Umma Party wasifurahie uhuru wa nchi yao ingawaje walijitoa sana katika kuhakikisha mapinduzi yanafanyika!

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo yanagawa wa-Zanzibar kwa misingi ya rangi...

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo yalikuwa yanaeneza propaganda kwamba CUF ingeshinda, basi Mwarabu angerejea Zanzibar!

Ni haya ma-CCM ngozi nyeusi ndiyo huku bara yakawa yanaeneza propaganda kwamba CUF ni Chama cha Waislamu, na CHADEMA ni Chama cha Wakristo na Wachaga!!!

Najua inauma..ila unabidi uzoee ccm ipo kukaa maisha...wewe izbhu katafute pa kwenda.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyu ndiye jabali la siasa karne hii huko Zanzibar.

Anamaanisha anachokisema. Ni ktk kipindi chake ndiyo aliandika katiba mpya ya Zanzibar inayotambua SUK bila kujadiliana na CCM na serikali yake ya bara bara.

Alianzisha SUK bila kuwashirikisha bara.

Aliwatambua UAMSHO bila kibali cha CCM bara
 
Kwa nini hakusimama na kuyapinga hayo hadharani wakati yalipo fanyika? Kwa nini hakukiri hadharani kwamba serikali iliyopo madarakani (kwa wakati huo) ilikuwa serikali haramu? Kwa nini ayaseme hayo miaka 6 baadae, tena baada ya mwenye kudhulumu na aliye dhulumiwa kufariki?
 
Mnafiki mkubwa huyo, alikuwa wapi kukemea huo uwizi na hali alikuwa rais wa Znz?
 
Back
Top Bottom