Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM ni walewale sema tu ameamua kuzugaView attachment 2002168
Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .
Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
Wanajua hatuna akiliSijui kwanini wakishastaafu ndio akili huwarudia?
Au pia huwa wanatuchezea makusudi wakijua muda wao wa kutubu utafika na watafanya hivyo, kwa mtindo huu naona hata hawa wa sasa nao siku inakuja watatubu.
Rais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingineMnafiki mkubwa huyo, alikuwa wapi kukemea huo uwizi na hali alikuwa rais wa Znz?
Mungu akuongezee umri na afya tele.....wachache sana tena wqlioonja keki ya Taifa ukiweza kusema ukweli wa moyo....blessed Baba na mwana mko fikra huruView attachment 2002168
Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .
Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
Mbali ya kutosema hadharani tokea wakati huo juu ya dhulma hiyo, je alichukuwa hatua gani kama mmoja wa viongozi ndani ya chama chake ambacho kilifanya dhulma ya aina hiyo? Je ameendelea kuwa kwenye nafasi yake ndani ya chama ama alijiweka pembeni kupinga kwa vitendo juu ya dhulma hiyo? Je aliye dhulumiwa alikuwa ni maalim seif ama ni wananchi wa zanzibar akiwemo na yeye mzee karume?Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume amesema miongoni mwa mambo yaliyowahi kumsikitisha ni kuitishwa kwa uchaguzi wa marudio mwaka 2015, wakati wakiwa kwenye kikao cha kujadili yaliyotokea katika uchaguzi huo akisema yeye alikuwa miongoni mwa wajumbe wa CCM waliokuwa wakifanya majadiliano na Maalim Seif baada ya uchaguzi ili kujua hatma ya Zanzibar.
Uchaguzi huo ulifutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakati huo Mwenyekiti wake akiwa Jecha Salim Jecha aliyeamua kufuta matokeo yaliyokuwa yakiendelea kutangazwa kisha ukatangazwa uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20 2016 ambao Maalim Seif aliususia.
"Nilishangaa hata wana CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, niliwauliza kwani hawa wenzetu si Watanzania? Hawataki haki na usawa? Niliwaambia Maalim Seif ni mtu muungwana kuliko hata walivyokuwa wakimuona na kumpa majina mabaya"-Karume.
Shetani akizeeka anageuka kuwa malaikaRais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume amesema miongoni mwa mambo yaliyowahi kumsikitisha ni kuitishwa kwa uchaguzi wa marudio mwaka 2015, wakati wakiwa kwenye kikao cha kujadili yaliyotokea katika uchaguzi huo akisema yeye alikuwa miongoni mwa wajumbe wa CCM waliokuwa wakifanya majadiliano na Maalim Seif baada ya uchaguzi ili kujua hatma ya Zanzibar.
Uchaguzi huo ulifutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakati huo Mwenyekiti wake akiwa Jecha Salim Jecha aliyeamua kufuta matokeo yaliyokuwa yakiendelea kutangazwa kisha ukatangazwa uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20 2016 ambao Maalim Seif aliususia.
"Nilishangaa hata wana CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, niliwauliza kwani hawa wenzetu si Watanzania? Hawataki haki na usawa? Niliwaambia Maalim Seif ni mtu muungwana kuliko hata walivyokuwa wakimuona na kumpa majina mabaya"-Karume.
Alimuogopa diktetaMaalim Seif hatunae tena sasa anamueleza nani au alimaanisha nn hasa Kwa kukaa kimya muda wote huo??
Mbona yeye 2005 alishindwa na Self na hakuachia?Haya maneno huwa wanayasema baada ya kustaafu, siwaamini, yale yale ya Mkapa kitaka Katiba Mpya kwenye kitabu chake baada ya kustaafu.
Hata Karume binafsi asingekubali kushindwa na Seif na angetumia njia yoyote kuhakikisha anashinda.
Kwa nini hakusimama na kuyapinga hayo hadharani wakati yalipo fanyika? Kwa nini hakukiri hadharani kwamba serikali iliyopo madarakani (kwa wakati huo) ilikuwa serikali haramu? Kwa nini ayaseme hayo miaka 6 baadae, tena baada ya mwenye kudhulumu na aliye dhulumiwa kufariki?
Kuna maneno kutoka vijiwe vya gahawa kuwa kuna mmoja Kati ya sheni au karume alikubali matokeo ya kushinda kwa sababu alisema kudhulumu matokeo kwa mujibu wa dini yake ni dhambi,na yeye haitaki dhambi hiyo.Haya maneno huwa wanayasema baada ya kustaafu, siwaamini, yale yale ya Mkapa kitaka Katiba Mpya kwenye kitabu chake baada ya kustaafu.
Hata Karume binafsi asingekubali kushindwa na Seif na angetumia njia yoyote kuhakikisha anashinda.
Huyu mbona alimaliza Urais wake kabla ya 2015, wakati huo Rais alikuwa Dr Shein ambaye ndiye baada ya kufutwa kwa matokeo na uchaguzi kurudiwa alishinda awamu ya pili na kuendelea kuongoza.Na akaendelea kutawala kwa raha zote miaka 5, leo katoka ndo anasononeka
Ha ha haaa!Kwani hata 2005 nayo mlimwibia?
Mbona mwaka 2000 CCM ililazimisha yeye Amani Karume awe Rais wa Zanzibar na akakubali?Huyu mzee alikuwa analazimishwa tu kufanya mambo mengi yale ya kiharamia waliyozoea ccm.
Dah wee jamaa bana,napendaga Sana maandiko yako.Kwani hata 2005 nayo mlimwibia?
Nilisha sahau kama jecha S. Jecha ilikuwa kwa shein nae hakutaka kulikemea hiloHuyu mbona alimaliza Urais wake kabla ya 2015, wakati huo Rais alikuwa Dr Shein ambaye ndiye baada ya kufutwa kwa matokeo na uchaguzi kurudiwa alishinda awamu ya pili na kuendelea kuongoza.