Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?

Rais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingine
huyo ni mnafiki tu hana lolote, amesahau alichofanyiwa maalim seif wakati yeye anaingia madarakani? kuna wakati wazanzibar wameuawawa kama wakati anaingia madarakani? huyu anatonesha tu vidonda vya wahanga.
 
Wapinzani wenyewe wako wapi?. Ndio hawa magaidi, vibaraka wa mabeberu?. Shame on you
 
Kuna Mwanga mbeleni, kumbe CCM kuna wenye busara kidogo bado?
 
Amani aka HAPA PANGU ni mnafik mkubwa! Hata awamu zote alizogombea yeye Maalim seif alisema ameshinda uchaguzi je ilikuwa kweli?
huyu ni wakumpuuza, hakuna wakati wa uchaguzi wazanzibar wameuawa kama wakati yeye akigombea alafu leo anajitoa fahamu na kujifanya mtakatifu.
 
Hata yeye 2000 & 2005 alimpora ushindi aache kusema ya wenzake ebo
 
At least ametoa ukweli wa kinachoendelea ndani ya chama.......!!!
Hawa wanapofika uzeeni, wamekua wakiguswa nafsini mwao. Hata mkapa aliandika kwenye kitabu chake yale ambayo hakufanya vizuri, hasa yale mauaji ya 2001. Huyu Karume umri umesogea sana, hivyo ameanza kuguswa ndani ya nafsi yake. Hata Magufuli angeishi muda mrefu, ipo siku angeelezea kujutia kwake.
 
Hizo ningonjera tu unadhani Rahisi
 
Walao kikubwa ameyasema akiwa yeye binafsi bado yupo hai na CCM kama taasisi inayolea huo uharamu bado ipo madarakani,amechelewa lakini ametimiza wajibu wake wa kuweka wazi na umma umemsikia
Mzee Karume kuyasema hayo kwa sasa itakuwa hayana mantiki yoyote, kwa sababu kukaa kimya na kuendelea kuwepo kwenye nafasi yake ndani ya chama kwa muda wote huo ni sawa na kukubaliana na dhulma iliyo fanyika.
Katika kutimiza wajibu, ni kwamba alishashindwa kufanya hivyo kwa kukaa kimya muda wote huo.
 
Wanakuaga wanafiki hawa, wakishatoka madarakani ndio akili zinawarud wanajifanya kujuta.
 
Mnafiki mkubwa huyo, alikuwa wapi kukemea huo uwizi na hali alikuwa rais wa Znz?
Huyu apongezwe kwa kauli hii. Sio kawaida kwa viongozi wa ccm kuongea wazi namna hii.

Inaeleweka hata kwa majambazi, ukiwasaliti wenzio au ukaenda kinyume na utaratibu, unauwawa.

Wanafiki wanaoendelea kukaa kimya. Huyu aliyejitokeza kukemea sasa, ni shujaa. Mkapa alijutia miaka mingi baadae kwa kuandika kitabu.
 
Sikatai kwa unavyofikiri but walao kasema kitu
 
hana ujabali wowote huyo mpuuzi, katiba mpya iliandikwa ajili ya kuona aibu na kupoza msuguano, kwa taarifa yako huyu ndo rais ambae damu za wazanziber wengi zimemwagika ajili ya madaraka
 
Akili za watz walio wengi wanazijua wao wenyewe, tuna taifa la watu mambumbumbu wepesi wa kusahau balaa hadi kimya.Tukianzia mwaka 2000 yalipotokea machafuko zanzibar huyu huyu karume aligaragazwa vibaya na Seif wakamtangaza mshindi na yeye akakubali, mwaka 2005 yaleyale yalitokea.Leo linakuja na ngonjera mazuzu yanaibuka na kupongeza pumbavu kabisa
 
Watu wasiomfahamu HAPA PANGU wanamsifu tayari kwa kuwadanganya na kuwafanya hawana akili.
nadhani huyu ndo anaweza kua rais anaechukiwa zaidi na wazanzibar maana awamu zote alizogombea wazanzibari wengi waliuawa na kutiwa vilema kwa wingi na wengine hata kukimbia nchi.
 
Angetekwa !
 
Rais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingine
Kusema wanaweza kusema ni Unafiki tu unaowasumbua. Hivi Nyerere angeishi miaka mingi kama Mwinyi unafikiri angeimba mapambio kama walivyo fanya wengine awamu iliyopita....!!?
 
inasikitisha sana, na kwa akili hizi ccm wataendelea kututawala watakavyo maana washatujua vyema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…