huyo ni mnafiki tu hana lolote, amesahau alichofanyiwa maalim seif wakati yeye anaingia madarakani? kuna wakati wazanzibar wameuawawa kama wakati anaingia madarakani? huyu anatonesha tu vidonda vya wahanga.Rais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingine
nimeamini ccm wana degree ya unafiki, yaani anajisahaulisha namna wazanzibar walivyouwawa ili apate urais alafu anajibwatukia tu kama fyatu.Mbona mwaka 2000 CCM ililazimisha yeye Amani Karume awe Rais wa Zanzibar na akakubali?
Wapinzani wenyewe wako wapi?. Ndio hawa magaidi, vibaraka wa mabeberu?. Shame on youView attachment 2002168
Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .
Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
Kuna Mwanga mbeleni, kumbe CCM kuna wenye busara kidogo bado?View attachment 2002168
Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .
Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
huyu ni wakumpuuza, hakuna wakati wa uchaguzi wazanzibar wameuawa kama wakati yeye akigombea alafu leo anajitoa fahamu na kujifanya mtakatifu.Amani aka HAPA PANGU ni mnafik mkubwa! Hata awamu zote alizogombea yeye Maalim seif alisema ameshinda uchaguzi je ilikuwa kweli?
Hata yeye 2000 & 2005 alimpora ushindi aache kusema ya wenzake eboView attachment 2002168
Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .
Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
Hawa wanapofika uzeeni, wamekua wakiguswa nafsini mwao. Hata mkapa aliandika kwenye kitabu chake yale ambayo hakufanya vizuri, hasa yale mauaji ya 2001. Huyu Karume umri umesogea sana, hivyo ameanza kuguswa ndani ya nafsi yake. Hata Magufuli angeishi muda mrefu, ipo siku angeelezea kujutia kwake.At least ametoa ukweli wa kinachoendelea ndani ya chama.......!!!
Watu wasiomfahamu HAPA PANGU wanamsifu tayari kwa kuwadanganya na kuwafanya hawana akili.huyu ni wakumpuuza, hakuna wakati wa uchaguzi wazanzibar wameuawa kama wakati yeye akigombea alafu leo anajitoa fahamu na kujifanya mtakatifu.
Hizo ningonjera tu unadhani RahisiHuyu ndiye jabali la siasa karne hii huko Zanzibar.
Anamaanisha anachokisema. Ni ktk kipindi chake ndiyo aliandika katiba mpya ya Zanzibar inayotambua SUK bila kujadiliana na CCM na serikali yake ya bara bara.
Alianzisha SUK bila kuwashirikisha bara.
Aliwatambua UAMSHO bila kibali cha CCM bara
Mzee Karume kuyasema hayo kwa sasa itakuwa hayana mantiki yoyote, kwa sababu kukaa kimya na kuendelea kuwepo kwenye nafasi yake ndani ya chama kwa muda wote huo ni sawa na kukubaliana na dhulma iliyo fanyika.Walao kikubwa ameyasema akiwa yeye binafsi bado yupo hai na CCM kama taasisi inayolea huo uharamu bado ipo madarakani,amechelewa lakini ametimiza wajibu wake wa kuweka wazi na umma umemsikia
Wanakuaga wanafiki hawa, wakishatoka madarakani ndio akili zinawarud wanajifanya kujuta.View attachment 2002168
Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .
Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
Huyu apongezwe kwa kauli hii. Sio kawaida kwa viongozi wa ccm kuongea wazi namna hii.Mnafiki mkubwa huyo, alikuwa wapi kukemea huo uwizi na hali alikuwa rais wa Znz?
Mzee Karume kuyasema hayo kwa sasa itakuwa hayana mantiki yoyote, kwa sababu kukaa kimya na kuendelea kuwepo kwenye nafasi yake ndani ya chama kwa muda wote huo ni sawa na kukubaliana na dhulma iliyo fanyika.
Katika kutimiza wajibu, ni kwamba alishashindwa kufanya hivyo kwa kukaa kimya muda wote huo.
hana ujabali wowote huyo mpuuzi, katiba mpya iliandikwa ajili ya kuona aibu na kupoza msuguano, kwa taarifa yako huyu ndo rais ambae damu za wazanziber wengi zimemwagika ajili ya madarakaHuyu ndiye jabali la siasa karne hii huko Zanzibar.
Anamaanisha anachokisema. Ni ktk kipindi chake ndiyo aliandika katiba mpya ya Zanzibar inayotambua SUK bila kujadiliana na CCM na serikali yake ya bara bara.
Alianzisha SUK bila kuwashirikisha bara.
Aliwatambua UAMSHO bila kibali cha CCM bara
nadhani huyu ndo anaweza kua rais anaechukiwa zaidi na wazanzibar maana awamu zote alizogombea wazanzibari wengi waliuawa na kutiwa vilema kwa wingi na wengine hata kukimbia nchi.Watu wasiomfahamu HAPA PANGU wanamsifu tayari kwa kuwadanganya na kuwafanya hawana akili.
Angetekwa !Kwa nini hakusimama na kuyapinga hayo hadharani wakati yalipo fanyika? Kwa nini hakukiri hadharani kwamba serikali iliyopo madarakani (kwa wakati huo) ilikuwa serikali haramu? Kwa nini ayaseme hayo miaka 6 baadae, tena baada ya mwenye kudhulumu na aliye dhulumiwa kufariki?
Kusema wanaweza kusema ni Unafiki tu unaowasumbua. Hivi Nyerere angeishi miaka mingi kama Mwinyi unafikiri angeimba mapambio kama walivyo fanya wengine awamu iliyopita....!!?Rais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingine
inasikitisha sana, na kwa akili hizi ccm wataendelea kututawala watakavyo maana washatujua vyemaAkili za watz walio wengi wanazijua wao wenyewe, tuna taifa la watu mambumbumbu wepesi wa kusahau balaa hadi kimya.Tukianzia mwaka 2000 yalipotokea machafuko zanzibar huyu huyu karume aligaragazwa vibaya na Seif wakamtangaza mshindi na yeye akakubali, mwaka 2005 yaleyale yalitokea.Leo linakuja na ngonjera mazuzu yanaibuka na kupongeza pumbavu kabisa
Hata Shein alishakubali kuachia nchi, tatizo ni yule aliyezikwa Lupaso.Rais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingine