Amani yaendelea kutawala miongoni mwa wajumbe bunge la katiba.

Amani yaendelea kutawala miongoni mwa wajumbe bunge la katiba.

Simiyu Yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
18,949
Reaction score
4,639
Amani kwenu wakuu,

Leo na kesho ni siku za mapumziko lakini pia zimeelezwa kama ni siku za kusoma kanuni tulizopewa ili jumatatu mijadala ianze rasmi ya kujadili kanuni hizi na kuzipitisha ili zituongoze kwenye mijadala ya kupata katiba ya watanzania.

kwa mda wote wa siku mbili jana na leo amani miongoni mwa wajumbe inazidi kuwa kubwa na kuendelea kuwa na moyo wa kufanya kazi baada ya swala la posho kuibua mzozo siku za hivi karibuni.

Tangu kuundwa kwa tume ya kufuatilia ufumbuzi wa swala la posho sasa wajumbe wameichia tume tukiamini kuwa busara zitatumika kupata mwafaka ambao kila mjumbe na watanzania kwa ujumla watalizika na huo uamuzi wa tume teule ya kificho.

Naamini kuanzia jumatatu wajumbe wote tutakuwa kitu kimoja kujadili kanuni kwa mlengo wa kitaifa wala si vinginevyo tupinge jitihada zote za kutaka kuvuruga mchakato kwa matakwa ya watu binafsi.

Ndugu wanajf nashukuru sana rais kuniteua kuwa mmoja wa wajumbe wa bunge la katiba sasa nimeweza kuona angi halisi za wanasiasa wengi walivyowanafiki kwa watu hasa wanapokuwa majukwaani make hujigamba kuwa wao ni watetezi wa watu kumbe usiku hewa ni adui wa wanachi namba moja.

Mungu ni mwema katiba itapatikana kwa rehema zake muumba tutashinda na hatimaye watanzania kupata katiba yao.
 
Amen mkuu namna hiyo

Wale wapenda damu naona wamekosa ujanja wa kuwarubuni watu bunge lisikalike
 
Amen mkuu namna hiyo

Wale wapenda damu naona wamekosa ujanja wa kuwarubuni watu bunge lisikalike
Ni kweli mkuu watu kwa sasa wanajitambua huwezi kuwajaza mawazo yako kirahisi leo wajumbe wa jinsi ya kike nao wamekaa kikaa chao na kuambizana kuwa hakuna kutumiwa na mtu hapa kila mtu asimame na mawazo yake na utaifa wake matakwa ya watu hapana.
 
Ni kweli mkuu watu kwa sasa wanajitambua huwezi kuwajaza mawazo yako kirahisi leo wajumbe wa jinsi ya kike nao wamekaa kikaa chao na kuambizana kuwa hakuna kutumiwa na mtu hapa kila mtu asimame na mawazo yake na utaifa wake matakwa ya watu hapana.

safi sana mkuu

kila la kheri!
 
Amani kwenu wakuu,

Leo na kesho ni siku za mapumziko lakini pia zimeelezwa kama ni siku za kusoma kanuni tulizopewa ili jumatatu mijadala ianze rasmi ya kujadili kanuni hizi na kuzipitisha ili zituongoze kwenye mijadala ya kupata katiba ya watanzania.

kwa mda wote wa siku mbili jana na leo amani miongoni mwa wajumbe inazidi kuwa kubwa na kuendelea kuwa na moyo wa kufanya kazi baada ya swala la posho kuibua mzozo siku za hivi karibuni.

Tangu kuundwa kwa tume ya kufuatilia ufumbuzi wa swala la posho sasa wajumbe wameichia tume tukiamini kuwa busara zitatumika kupata mwafaka ambao kila mjumbe na watanzania kwa ujumla watalizika na huo uamuzi wa tume teule ya kificho.

Naamini kuanzia jumatatu wajumbe wote tutakuwa kitu kimoja kujadili kanuni kwa mlengo wa kitaifa wala si vinginevyo tupinge jitihada zote za kutaka kuvuruga mchakato kwa matakwa ya watu binafsi.

Ndugu wanajf nashukuru sana rais kuniteua kuwa mmoja wa wajumbe wa bunge la katiba sasa nimeweza kuona angi halisi za wanasiasa wengi walivyowanafiki kwa watu hasa wanapokuwa majukwaani make hujigamba kuwa wao ni watetezi wa watu kumbe usiku hewa ni adui wa wanachi namba moja.

Mungu ni mwema katiba itapatikana kwa rehema zake muumba tutashinda na hatimaye watanzania kupata katiba yao.

Lakini mawazo yako mengi humu huwa ni very biased and partisan; ni matarajio yetu kwamba utaifa wako utatangulia your political persuasion na binafsi nakutakia kila la kheri katika shughuli hiyo pevu;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Lakini mawazo yako mengi humu huwa ni very biased and partisan; ni matarajio yetu kwamba utaifa wako utatangulia your political persuasion na binafsi nakutakia kila la kheri katika shughuli hiyo pevu;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ahsante mkuu katika hili jukumu nimeweka utaifa mbele itikadi pembeni naomba mungu atusimamie na kutuongoza kuwa na nyoyo zenye uzalendo ili tupate katiba ya watu wote.
 
Amani kwenu wakuu,

Leo na kesho ni siku za mapumziko lakini pia zimeelezwa kama ni siku za kusoma kanuni tulizopewa ili jumatatu mijadala ianze rasmi ya kujadili kanuni hizi na kuzipitisha ili zituongoze kwenye mijadala ya kupata katiba ya watanzania.

kwa mda wote wa siku mbili jana na leo amani miongoni mwa wajumbe inazidi kuwa kubwa na kuendelea kuwa na moyo wa kufanya kazi baada ya swala la posho kuibua mzozo siku za hivi karibuni.

Tangu kuundwa kwa tume ya kufuatilia ufumbuzi wa swala la posho sasa wajumbe wameichia tume tukiamini kuwa busara zitatumika kupata mwafaka ambao kila mjumbe na watanzania kwa ujumla watalizika na huo uamuzi wa tume teule ya kificho.

Naamini kuanzia jumatatu wajumbe wote tutakuwa kitu kimoja kujadili kanuni kwa mlengo wa kitaifa wala si vinginevyo tupinge jitihada zote za kutaka kuvuruga mchakato kwa matakwa ya watu binafsi.

Ndugu wanajf nashukuru sana rais kuniteua kuwa mmoja wa wajumbe wa bunge la katiba sasa nimeweza kuona angi halisi za wanasiasa wengi walivyowanafiki kwa watu hasa wanapokuwa majukwaani make hujigamba kuwa wao ni watetezi wa watu kumbe usiku hewa ni adui wa wanachi namba moja.

Mungu ni mwema katiba itapatikana kwa rehema zake muumba tutashinda na hatimaye watanzania kupata katiba yao.

Kweli Rais tunaye!! We gamba unasifa gani za kujadili Katiba au ndo nyie mlichaguliwa kwa kwenda kuongeza idadi ya MaCCM ili mchakachue maoni yetu wananchi??
 
Izokanuni zipaste hapa nasi kwa upandewtu tuchangie ,na hapa tupo wengi kulio nyote huko, mkataa wingi mchawi !
 
Lakini mawazo yako mengi humu huwa ni very biased and partisan; ni matarajio yetu kwamba utaifa wako utatangulia your political persuasion na binafsi nakutakia kila la kheri katika shughuli hiyo pevu;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Unafiki unaonekana upande mmoja tu. Ndiyo ubinadamu huo. Simiyu yetu amekuwa anatangaza humu kuteuliwa kwake na kila mara akikumbushia Unafiki wa wanasiasa kwa mtazamo wake! Anasahau pia kuwa kauli zake hizo nazo ni aina ya unafiki.
 
Ahsante mkuu katika hili jukumu nimeweka utaifa mbele itikadi pembeni naomba mungu atusimamie na kutuongoza kuwa na nyoyo zenye uzalendo ili tupate katiba ya watu wote.
Simiyu Yetu Ulipitia kundi gani?
 
Tuwekee hizo kanuni hapa! Jitaidi kuyasimamia mawazo ya watanzania walio wengi kuliko maslahi ya vyama!
 
Ahsante mkuu katika hili jukumu nimeweka utaifa mbele itikadi pembeni naomba mungu atusimamie na kutuongoza kuwa na nyoyo zenye uzalendo ili tupate katiba ya watu wote.
sisi tunafahamu kuwa ww tayari umesha-memorize wimbo wa Nape Nnauye kuhusu serekali 2 hata ukaambiwa nini husikii wala hutaki kusikiliza. Afadhali tu wewe na Maccm wenzako mkachukua hiyo posho ambayo kwenu ndo muhimu zaidi then mkabakia nyumbani mkapisha wazalendo wa nchi hii wakatutengeneze katiba ya nchi yetu.
 
Kweli Rais tunaye!! We gamba unasifa gani za kujadili Katiba au ndo nyie mlichaguliwa kwa kwenda kuongeza idadi ya MaCCM ili mchakachue maoni yetu wananchi??
Sina mda wa kukujibu nimetumwa kuandaa katiba siyo vinginevyo.
 
sisi tunafahamu kuwa ww tayari umesha-memorize wimbo wa Nape Nnauye kuhusu serekali 2 hata ukaambiwa nini husikii wala hutaki kusikiliza. Afadhali tu wewe na Maccm wenzako mkachukua hiyo posho ambayo kwenu ndo muhimu zaidi then mkabakia nyumbani mkapisha wazalendo wa nchi hii wakatutengeneze katiba ya nchi yetu.
Hayo ni mawazo yako ndivyo wenye upeo mdogo huwaza hivyo kumbe siyo endelea kuamini hivyo sisi tunatengeneza katiba ya watanzania.
 
Tuwekee hizo kanuni hapa! Jitaidi kuyasimamia mawazo ya watanzania walio wengi kuliko maslahi ya vyama!
Mkuu ni nyingi sana ni zaidi ya page tano lakini mtuamini tutafanya kazi ambayo taifa linataka.
 
[quote name="Simiyu Yetu" post=8773905]Ahsante mkuu katika hili jukumu nimeweka utaifa mbele itikadi pembeni naomba mungu atusimamie na kutuongoza kuwa na nyoyo zenye uzalendo ili tupate katiba ya watu wote.
Simiyu Yetu Ulipitia kundi gani?[/QUOTE]
Huyu atakuwa lile kundi la 'malengo yanayofanana'
 
Simiyu Yetu Ulipitia kundi gani?
Huyu atakuwa lile kundi la 'malengo yanayofanana'[/QUOTE]
Nimepitia kundimla watu wenye majeraha makubwa nyuma ya kichwa tupo wawili tu nadhani mwenzangu mnamjua vema.
 
Back
Top Bottom