Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
- Thread starter
- #21
Ni vema kuamini kuwa unajua wakati hujui ili uishi kwa kujiamini make ungejua kuwa hujui ungekuwa mnyonge kweli ,pole mkuuUnafiki unaonekana upande mmoja tu. Ndiyo ubinadamu huo. Simiyu yetu amekuwa anatangaza humu kuteuliwa kwake na kila mara akikumbushia Unafiki wa wanasiasa kwa mtazamo wake! Anasahau pia kuwa kauli zake hizo nazo ni aina ya unafiki.