Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
- Thread starter
- #21
Unapata pesa kwa kutatua matatizo yanayoisibu jamii, yale matatizo mchomo kiasi cha mtu au biashara kukubali kukulipa.Hivi ni namna gani ukijua coding utaweza kupata kazi na kutengeneza Pesa kwa hapa bongo,
Lakini pia unaweza pata pesa kwa kuuza ujuzi na ushauri.
Inatagemeana unataka kufanya nini. Hizi lugha ni kama vifaa vya kazi. Kama plan ni kuchonga mbao basi hakikisha una randa.Na ni kwa C++ na Python zinatosha kukupa hizo kazi?
Kabla hujachagua ukajifunze lugha ipi, hakikisha unajua unataka kuja kufanya nini!