Amatus Liyumba: Balaa!


Ndugu,Mkanda wa GESHI ukikupata,count it done!! Huwezi pata Mkanda wa GESHI kama huna VIRUSI,na hiyo ndo taarifa!
 

Mh Easther Tena Msitake Kuharibu Ndoa za Watu Esther Kutulia na Mumewe Fresh Na Watoto Wawili Wenye Afya Tele Na Pdidy Wacha Uzushi kama Esther basi Alipima na Yupo Njema labda Lyumba alitumia Mpira! Japo alishafanya kazi kwa Zadoc
 
...........huyu dogo sidhani kama atakuja na maneno zaidi

@New York,USA
Mkuu ushatoka jela!!!... Manake Nilifananishwa na wewe hadi Post zangu zote zikahamishiwa kwako ukanifanya hadi Nimpoteze Afrodenzi...

Hivi unatumia net za aina gani hadi zinafananishwa na ID yangu.. RaisiWaPemba.
 
Eeh Mungu turehemu sisi wana wa sodoma na gomora ya wakati huu.Kweli huyo ni binadam kweli watu zaidi za 36???
Tusamehe Bwana Yesu!!!
~the aLpHA~
 
MMMMH KUPENDA SLOPE SOMETIMES KUNAMLEAD MTU PABAYA C LAZMA AWE KAWAUMIZA WOOOTE
HAWA LAKN SOME OF THEM
MMMMH GONJWAGONJWA! R.I.P WOTE WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI,NA HUYU MDINGI
SI TEYARI YUPO
KITAA?nadhani
anajenga kwanza mwili
ndio aungie tena
kazini! and funny
enought kina she watashoboka!
 
NB:Jamani orodha ni ndefu mno kama unafahamu wengine ongezea kwa muda wako, sasa hawa mademu wengi wao walikuwa wanazunguka kwa mapedeshee na watu wenye pesa Dar baadhi yao ni:

1.Zadoc.
2.Mlatie (Mwenye Rose Garden pale Mikocheni Majimachafu).
3.Mujuni (wa EPA).
4.Lawrence Masha (Waziri wetu wa Mambo ya Ndani).
5.Cisco Mtiro (Aliyekuwa Mkuu wa Itifaki Ikulu kazi ipo).
6.Papaa Msofe.
7.Jack Pemba.
8.Bashir Awadh (MD wa Stanbic Bank kama sikosei).
9.Ray (wa Regency Hotel).
10.Kinjekitile Ngombale Mwiru.
11.Alex Massawe.( mwenye A.M. Investment).
12.Mudhamil(kampani ya akina Msofe).
13.Crecensious Magori (Jamaa wa NSSF).

huyo mwenye red sijui kama bado yupo ameshawatanguliza baadhi ya watu.
 
yupo arv za nje ya nji zinmlinda
anaendelea kufanya mauwaji tuu

akivuta utajua



 
Hivi yule Dada ambaye sasa ni Mh Mbunge kupitia Vijana Arusha Catherine Magige alinusurika kwa Liyumba???
 
kidogo nikurupuke kuchangia lakini baada ya kupitia kwa makini nimegundua hii thread ilianzishwa tarehe 22/1/2008.mods kuna sababu gani hii thread iendelee kuwepo?
 
huyu jamaa alikuwa balaaa. sijui bado anaendeleza libeneke ?
 
Kwani Jamaa keshatoka gerezani baada ya kesi ya kukutwa na simu gerezani? Au alishatoka kama kasusura
 
Acha uongo bwana liyumba hayupo BOT yupo mtaani anafanya shughuli zake kama raia mwingine tu.
 
Nilichompendea aliendeleza ndugu zake balaa japo mtu unaweza ukalia,ukifikiria kwamba ni hela zetu watz ndo znaendesha ukoo wa mtu mmoja
Ila daaaah kama ni muathirika kuna chain ndefuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…