Jumboplate
Senior Member
- Jul 29, 2008
- 133
- 10
Mmmh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi kwi kwi ! jamaa moja kwa moja baada ya salaam kaenda kwenye target yake. Msondo walishaimba 'ukiona mtu mzima analia aah ujue kuna jambo.........'Karibu sana naona umeanza na Amatus Liyumba...umepitiwa kwenye anga zako?
Next Level, nina mawazo tofauti. Kwangu mimi wasichana wengi na karibu wote vicheche/wa barabarani etc walikuwa wanasisitiza mpira. Yaani bila mpira hamuondoki pamoja.Natasha,
Umenifurasha sana kwa post hiyo ambayo kwangu naona umejitahidi kuwa objective na kuzungumzia reality ukitujumlisha na wewe pia kny possibility ya kuwa kny hiyo list! Mana watu hapa wananyosha vidole tu kny list ya ndugu AL, bila kufikiria kuwa wao wenyewe wanaweza kuwa kny list hiyo in one way or another as long as haka kamchezo katamu wanakafanya! Hata kama si list ya AL, kila mmojo wetu (ambao hushake) naamini ana kalist kake, fikiria tangia uko Primary sc, Sec, University, on job etc ulishashake na wangapi? sasa iweke vizuri hiyo list na uaccess wangapi kati ya hao wako affected?
Pili, natasha kny issue ya Condom, kwa uzoefu wangu wanawake wote ambao nimeshakutana nao nakushake, hakuna hata mmoja wao aliyenikumbusha kwamba natakiwa niandae,na kuvaa Condom wakati wa kunaniii...kama si mimi mwenyewe kukumbuka kubeba na kukumbuka kuvaa, kama si kufanya hivyo basi tulipekua.....so is true kina mama huwa ni indecisive linapokuja suala la kuvaa condom au laa, so risk wao kuambukizwa ngoma ni kubwa mno! But please dada zetu change this altitude...tutakwisha!
Thanks again
Kwenye Hiyo list ya Mzee Liyumba,mwanadada kwenye #42 (Fatuma Uledi) amefariki jana Kwao Kinondoni...ni habari ya kuhudhunisha.Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi!!
Kwenye Hiyo list ya Mzee Liyumba,mwanadada kwenye #42 (Fatuma Uledi) amefariki jana Kwao Kinondoni...ni habari ya kuhudhunisha.Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi!!
Jamani waliokuwa karibu na kipindi cha bongosearch ..nahisi kila mtu alikuwa na maswali ya kujiuliza dada yetu ritta mbona sura imebadilika sana .mwili umechoka.....,,,,,,
tusijekuambiwa mshituko wa damu ndio maana tukaamua kuanza kuulizana maswali wenywe kwa wenyewe kama kuna msaada tunaweza kutoa kwa dada yetu
Kupanda na kushuka kwa Liumba, ni dalili tosha kuwa Mungu yupo. Ole wenu mafisadi na wanyontaji maana hata nanyi siku zenu zimehesabiwa. mungu Liumba anasubiri kufa tena kwa gonjwa zito, KUWAPI kuringa kwake, ZIPO wapi mali zake zisimsaidie? wote mnaotamba kwa kuwanyonya watanzania ninawahakikishieni kuwa mwisho wenu utanuka na kila mtu atawacheka maana mtakuwa mmeishiwa. Napenda kuwashauri mumkimbilie Yesu ingawa sipendi kuona watu wanakuja kwa Yesu baada ya kukongoroka kama Liumba. Vinginevyo na mlaaniwe kwa laana toka juu tena mfe mapema mtupishe sisi tuishi kwa amani.