Amatus Liyumba: Balaa!

Poleni
 
Amatus yule mwamba wa BOT?

Mtoto wake alikamatwa na mzigo wa dawa za kulebya wa mabilioni Mtwara

 
Ndu isingekuwa ngoma,mwamba angekuwepo 😭
Hii kitu wengi wanao na wengine wanadunda tu miaka nenda rudi. Inategemea pia na genes.kuna maza flani anayo toka miaka ya 80. Kapitia hata enzi zile booster na minjingu (ARVs) hazijaja. Zilipokuja booster ndo zikamboost mazima yani leo ukimuona huwez amin.

King Kong III
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…