Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Yanapendeza machoni lakini ni GMO. Nadhani huko yanapolimwa yanakua ana matumizi tofauti na chakula cha binadamuPure black
Possible, pengine hata ni kwa ajili ya mifugoYanapendeza machoni lakini ni GMO. Nadhani huko yanapolimwa yanakua ana matumizi tofauti na chakula cha binadamu
Itakua hivyo. Mbegu hizi ni za ki Monsanto monsanto hivi😀😀😀Possible, pengine hata ni kwa ajili ya mifugo
Mm ninewahi kula ndizi kama hizi, mbamba bay ziwa nyasaItakua GMOs hizi mkuu. Rangi inapendeza lakini ndizi zimefanyiwa utundu wa uhandisi jeni(geni). Sio rafiki sana kwa afya ya binadamu