Tunasubiri mchina atoe yake ili tufaidi huku bongo maana ya Elon Musk yule kiande wa jimbo la mtama ameamua kumbania.
Bora mkuu usubirie mchina, maana hata Hio Starlink tunaongea sababu haipo, ikishakuja Tutaanza kulaumu tena ni Gharama, inakata kata, na matatizo kibao.Tunasubiri mchina atoe yake ili tufaidi huku bongo maana ya Elon Musk yule kiande wa jimbo la mtama ameamua kumbania.
Umesema kweli wengi hatutaweza afford gharama za Starlink huu ni ukweli hasa gharama za installation yake tu ni mtiti kwa mtanzania wa kawaida, kuhusu kukata kata nimeona sehemu mbali mbali wamarekani baadhi wanayoitumia wanalalamika inasumbua hasa kukiwa na mawingu na sehemu yenye miti mirefu na pia ina athiriwa na roaming..Bora mkuu usubirie mchina, maana hata Hio Starlink tunaongea sababu haipo, ikishakuja Tutaanza kulaumu tena ni Gharama, inakata kata, na matatizo kibao.
mkuu hiyo ya wachina ni ipi asee, sijaisikia kabisa.Bora mkuu usubirie mchina, maana hata Hio Starlink tunaongea sababu haipo, ikishakuja Tutaanza kulaumu tena ni Gharama, inakata kata, na matatizo kibao.
Hakuna mkuu, tunaongea tu. Zilizopo ni tetesi, hoja hapo ni kwamba Watanzania hawawezi ku Afford hizi product za Kimarekani, tusubiri za China zitakua bei rahisi.mkuu hiyo ya wachina ni ipi asee, sijaisikia kabisa.
Ping yake ni level za 3G, na pia haimaintain muda wote, gamers wengi wanalalamika disconnection kwenye servers.Umesema kweli wengi hatutaweza afford gharama za Starlink huu ni ukweli hasa gharama za installation yake tu ni mtiti kwa mtanzania wa kawaida, kuhusu kukata kata nimeona sehemu mbali mbali wamarekani baadhi wanayoitumia wanalalamika inasumbua hasa kukiwa na mawingu na sehemu yenye miti mirefu na pia ina athiriwa na roaming..
mkuu nilikua nacheki youtube wanaijeria wanalipa 43$ per month, mi naona ni far better kuliko 120K ya vodacom kwa speed ya 30mbps, kati starlink wao inarange kwenye 150+mbps.Ping yake ni level za 3G, na pia haimaintain muda wote, gamers wengi wanalalamika disconnection kwenye servers.
Sema ni Nzuri kwa wale ambao hawana matumizi ya ping, wanaoshusha mizigo torrent, kudownload games, movies na mambo mengine.
Hii ni Hela aliotangaza Musk ila wanalipa zaidi Nigeria.mkuu nilikua nacheki youtube wanaijeria wanalipa 43$ per month, mi naona ni far better kuliko 120K ya vodacom kwa speed ya 30mbps, kati starlink wao inarange kwenye 150+mbps.
Ila mchina hajaonesha nia ya kuanza mradi kama huoBora mkuu usubirie mchina, maana hata Hio Starlink tunaongea sababu haipo, ikishakuja Tutaanza kulaumu tena ni Gharama, inakata kata, na matatizo kibao.
Ila mchina hajaonesha nia ya kuanza mradi kama huo
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mkuu samahani,nje ya mada kidogo.Hivi hapa JF kama natumia browser kwenye simu nafanyaje ili niweze ku-upload picha au video nyingi kwa wakati mmoja bila ya ku-upload moja moja?Watch Out, Elon: China Could Launch 13,000 Satellites to Disrupt Starlink
The proposed satellites, in addition to providing internet services, could spy on Starlink satellites and possibly disable them.gizmodo.com
Bado ila lengo lipo.
Unaclick attach kisha unabrowse hadi kwenye picha unazotaka ku upload halafu unagusa bila kuachilia mpaka picha iwe highlighted kisha unachagua picha zote na ku upload kwa pamoja. Zita upload na kukaa chini ya post, pale chini click instert utachagua iwe full picture ama thumbnailMkuu samahani,nje ya mada kidogo.Hivi hapa JF kama natumia browser kwenye simu nafanyaje ili niweze ku-upload picha au video nyingi kwa wakati mmoja bila ya ku-upload moja moja?
Shukrani mkuu!Unaclick attach kisha unabrowse hadi kwenye picha unazotaka ku upload halafu unagusa bila kuachilia mpaka picha iwe highlighted kisha unachagua picha zote na ku upload kwa pamoja. Zita upload na kukaa chini ya post, pale chini click instert utachagua iwe full picture ama thumbnail
Mkuu nikigusa sehemu ya attach files inanigomea na kuniletea ujumbe ufuataoUnaclick attach kisha unabrowse hadi kwenye picha unazotaka ku upload halafu unagusa bila kuachilia mpaka picha iwe highlighted kisha unachagua picha zote na ku upload kwa pamoja. Zita upload na kukaa chini ya post, pale chini click instert utachagua iwe full picture ama thumbnail