Amazon kuzindua mshindani wa Starlink mwaka 2024

Amazon kuzindua mshindani wa Starlink mwaka 2024

Umesema kweli wengi hatutaweza afford gharama za Starlink huu ni ukweli hasa gharama za installation yake tu ni mtiti kwa mtanzania wa kawaida, kuhusu kukata kata nimeona sehemu mbali mbali wamarekani baadhi wanayoitumia wanalalamika inasumbua hasa kukiwa na mawingu na sehemu yenye miti mirefu na pia ina athiriwa na roaming..
 
Huna file manager kwenye simu, search files playstore.
Ninayo hii ya google.Kwani hii ya google haifai mkuu?
020230316152914.jpg
 
Hivi hatuwezi tumia dish na receive kupata internet Kuna siku nilisoma soma mtandaoni nikaona uwezekano upo Kuna kifaa ina 2 in 1 Yani Port ya input ipo moja na out put zipo mbili happy ndo out put moja ndo inatoa internet wajuzi wa mambo mawazo yenu muhimu
 
Hivi hatuwezi tumia dish na receive kupata internet Kuna siku nilisoma soma mtandaoni nikaona uwezekano upo Kuna kifaa ina 2 in 1 Yani Port ya input ipo moja na out put zipo mbili happy ndo out put moja ndo inatoa internet wajuzi wa mambo mawazo yenu muhimu
Kwa kifupi hapana, dish na receiver za kawaida/TV haziwezi kutuma data zinapokea tu. Internet inahitaji kutuma na kupokea kila wakati. Port za kwenye receiver sio za kutuma data ni za kubadili settings za receiver.
 
Back
Top Bottom