The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Umesema kweli wengi hatutaweza afford gharama za Starlink huu ni ukweli hasa gharama za installation yake tu ni mtiti kwa mtanzania wa kawaida, kuhusu kukata kata nimeona sehemu mbali mbali wamarekani baadhi wanayoitumia wanalalamika inasumbua hasa kukiwa na mawingu na sehemu yenye miti mirefu na pia ina athiriwa na roaming..