The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Umesema kweli wengi hatutaweza afford gharama za Starlink huu ni ukweli hasa gharama za installation yake tu ni mtiti kwa mtanzania wa kawaida, kuhusu kukata kata nimeona sehemu mbali mbali wamarekani baadhi wanayoitumia wanalalamika inasumbua hasa kukiwa na mawingu na sehemu yenye miti mirefu na pia ina athiriwa na roaming..
Huna file manager kwenye simu, search files playstore.Mkuu nikigusa sehemu ya attach files inanigomea na kuniletea ujumbe ufuataoView attachment 2553188
Ninayo hii ya google.Kwani hii ya google haifai mkuu?Huna file manager kwenye simu, search files playstore.
Ilitakiwa ifae, hujaidisable Built in file manager?Ninayo hii ya google.Kwani hii ya google haifai mkuu?
View attachment 2553717
Wapi huko mkuu?Ilitakiwa ifae, hujaidisable Built in file manager?
Kama ulivyo disable ile google play framework, files hukui disable?Wapi huko mkuu?
Hii global roaming yake ina sababisha net ya starlink ku throttling kwa baadhi ya users nimeona wengi wakilalamikia hilo nafikiri watafix tu..
Kwa kifupi hapana, dish na receiver za kawaida/TV haziwezi kutuma data zinapokea tu. Internet inahitaji kutuma na kupokea kila wakati. Port za kwenye receiver sio za kutuma data ni za kubadili settings za receiver.Hivi hatuwezi tumia dish na receive kupata internet Kuna siku nilisoma soma mtandaoni nikaona uwezekano upo Kuna kifaa ina 2 in 1 Yani Port ya input ipo moja na out put zipo mbili happy ndo out put moja ndo inatoa internet wajuzi wa mambo mawazo yenu muhimu