Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji118] Division bashiteBashite angekuwa mtoto wa Don kwenye movie la Kimafia. Leo hii angeitwa sebuleni kwa mshua. Angepewa glasi ya mvinyo wangegonga cheers. Kisha mshua angemuambia *"Good Boy"* ...Baada ya hapo angepewa kipigo cha nguvu kinoma na kuambiwa *"Watoto wa Madon hawafanyi movie za kifala na kibwege kama hizo."*
Alichokichokonoa Leo ndicho kitakacho muondoaJamaa ni zero brain,alitakiwa akae kimya watu wangechoka wenyewe.
Lemutuz mbona unaguna.Mmmmmmmmh
Leo umeishia kuguna tuuuh cumon sema kale kamsemo oyeeMmmmmmmmh