siamini kama huongei chochoteMmmmmmmmh
Kila siku anaibua kituko kipya na hamna wa kumuwajibishaJamaa ni zero brain,alitakiwa akae kimya watu wangechoka wenyewe.
Ndio maana hata shule alipata daraja LA bureyule jamaa n bure kabisa
Katoka kapa kuelewa fasihi[emoji23][emoji23][emoji23]siamini kama huongei chochote
huyo anamteteaga bashite leo hana cha kuongeaKatoka kapa kuelewa fasihi[emoji23][emoji23][emoji23]
duh.Dah umeua.
John Wick na baba yoga..Bashite angekuwa mtoto wa Don kwenye movie la Kimafia. Leo hii angeitwa sebuleni kwa mshua. Angepewa glasi ya mvinyo wangegonga cheers. Kisha mshua angemuambia *"Good Boy"* ...Baada ya hapo angepewa kipigo cha nguvu kinoma na kuambiwa *"Watoto wa Madon hawafanyi movie za kifala na kibwege kama hizo."*
duhhhYeye mwenyewe division zero, amefeli kila hatua yaani darasa la nne alifeli, la saba alifeli la kumi na mbili alifeli pia. Unadhani anaweza Fanya move gani yenye maana zaidi ya hiyo? Hapo amejitahidi kutumia akili yake yoote ndo kaishia hapo.