Ambangile: Inonga ndio beki bora wa kweli na halali

Kila mtu ana mtazamo wake kwa vigezo vyake
Ni km mdahalo wa CR7 na MESS wa nani bora

Kitu kizuri ni kwamba tuzo ndo zishatolewa na inabidi ukubali km hutaki andamana
 
Kwa hiyo match moja na Uganda ndio impe Uchezaji bora? Mbumbumbu Pro Max
 
JOB achafua hali ya hewa...mange kimambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…