Ambao awajawahi kufanya mapenzi tukutane hapa

Wanduta

Senior Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
123
Reaction score
40
Tuweni wa kweli,wadada na wakaka ambao bado ku do,na je?tu handle vipi the real situation mitaani kwa maseng'enyo,matambo,matukano na unafiki kwa watu ambao wanesha experience haya mambo.kama kuitwa muoga,ujui kitu,uko zuzu,sio mzima,Domo zege,nakadharika KARIBUNI.
 
Nilanza kujua nyumba za wageni nikiwa na miaka 24, nahisi naweza kuwa mshauri mzuri kwenu
 
Unataka ushauri gani mkuu? Okay tumia tundu la mbele lile la nyuma ukigusa utakufa, ni hayo tu.
 
Mimi nikoa harusi inaanza SAA 6 mchana mpaka SAA 12 jioni... Tynaenda na mke wangu veto mapemaaaa.. Niukwangue mzigo kwa Mara ya kwanza mpaka asbui
 
Mimi pia siyajui mapenzi. Ni kutupia tu hogo kisha naamsha, sijui kupenda!
 
Hapanifah hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…