Ambao hamuamini uchawi naomba mnieleze mambo haya hutokeaje?

Ambao hamuamini uchawi naomba mnieleze mambo haya hutokeaje?

Ahmed Saidi

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
1,588
Reaction score
3,487
Habari wapendwa,

Kwa tafsiri yangu ambayo sio rasmi, uchawi ni jambo ambalo huwezi kulielewa kwa akili ya kawaida lakini binadamu hulifanya jambo hilo na hata mtu anaelifanya huwenda hajui hutokea vipi. Jambo hili la uchawi pia haliwezi kuelezewa kisayansi kwasababu sio jambo linalofuata kanuni za kisayansi.

Binafsi naamini kwamba Kuna uchawi kutokana na kuwepo kwa matukio kadha wa kadha katika maisha ya kila siku. Lakini naona ajabu kabisa kuna watu wanapinga kabisa kuwa hakuna uchawi na watu hao husema hizo ni fix tu na story za vijiweni.

Kwa ambao hawaamini jambo hili, naomba mnipe ufafanuzi wa kisayansi kivipi matukio haya yanawezekana?

1. Kuna tukio la mama kujifungua kuku kule kigoma. Hili tukio ni maarufu sana ambapo Kuna mama alijihisi ni mjamzito na alihudhuria kliniki kwa kipindi cha ujauzito wake lakini ulipofika muda wa kujifungua huyu mama alijifungua kuku. Uzuri wa tukio hili lilithibitishwa na polisi pamoja na daktari na kutangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari. Sasa je kivipi jambo hili huwezekana katika hali ya kawaida?
Ripoti ya madaktari ilisema kuwa ni mambo ya kishirikina tu.

images (18).jpeg


2. Tukio la pili nililiona mwenyewe Kwa macho yangu. Ilikuwa Niko darasani nafundisha wanafunzi wa kidato cha sita, ghafla mmoja akapandisha kinachoitwa mashetani, hii huwa inawatokea watu wengi sana. Kupandisha mashetani pekee sio uthibitisho kuwa kuna nguvu za Giza lakini hile hali ya mtu mwenye mashetani kuwa na sifa flani ndio inanipa maswali mengi. Watu wengi waliopandisha mashetani huwa na nguvu sana.

Yule mwanafunzi aliepandisha mashetani alikuwa na nguvu kubwa kiasi aliweza kuwazuia takribani watu kumi na kuwabwaga wote na akafanikiwa kukimbia, wakati muda hana mashetani anakuwa hana nguvu hizo. Pia mtu mwenye mashetani hujigonga huko na kule Kwa nguvu kubwa na sometimes hata kujidhuru wenyewe lakini baada ya maombi flani watu hawa hutulia.

Swali langu ni kuwa watu hawa hupata wapi nguvu za kuweza kufanya yote haya? Je wanaigiza tu? Kama wanaigiza mbona hujidhuru sana? Kama ni matatizo ya kisaikilojia tu mbona hutibiwa kwa maombi na baada ya maombi hayo hali hukaa sawa?

Kwa lugha ya staha naomba tueleweshane🤝
 
Infact ingawa naamini kuwepo kwa uchawi simaanishi kuwa watu wajikite katika kudeal na mambo ya uchawi kwa kutaka kujizuia au kufanya baadhi ya mambo Kwa imani za kishirikina.

Leo hii Kuna watu hawafanyi mambo Yao mpaka ajihusishe either kujilinda na uchawi au kulifanya Kwa uchawi.

Mkulima halimi mpaka aende Kwa mganga
Mfanyabiashara hawezi Fanya kazi zake mpaka aweke the so called kinga
Wachezaje wa mpira nao tunapishana nao Kwa waganga wa jadi.
Hangalia timu za mpira zinavyobishana kupita katika mlango flani eti kisa ni uchawi

Uchawi upo ila ni mambo ya kipuuzi ambayo hayawezi kuleta faida yoyote kwa jamii.

Uchawi ni kama mchezo flani ambao mtu amekuletea ili usahau jambo la msingi. Ni kama mfano wa playstation kwa watoto wetu.
 
UCHAWI NI KAMA UMEME UPO UNAZUNGUMZWA LAKINI HAUONEKANI, MUULIZE INJINIA WA UMEME TAA TRANSFORMERS, WAYA NA VIFAA VIMGI WANAVIJUA.ILA KWA MACHO YA NYAMA WAMEWAHI KUUONA UMEME, NA KAMA WAMEUONA UKOJE.NDIVYO ULIVYO UCHAWI.
 
Ijapokuwa mambo na shughuli za kichawi husemekana haziwezi kuthibitika kisayansi, lakini kwa kupitia teknolojia ya kisasa ya CCTV kamera yanaweza baadhi ya vitendo vyao vinaweza kunaswa.

Ukitafuta katika You Tube ujishuhudia wewe mwenyewe pilika pilika zao.
Pengine labda tuangalie katika hii ninayoiambatanisha hapa chini.

 
Ijapokuwa mambo na shughuli za kichawi husemekana haziwezi kuthibitika kisayansi, lakini kwa kupitia teknolojia ya kisasa ya CCTV kamera yanaweza baadhi ya vitendo vyao vinaweza kunaswa.

Ukitafuta katika You Tube ujishuhudia wewe mwenyewe pilika pilika zao.
Pengine labda tuangalie katika hii ninayoiambatanisha hapa chini.


Asante kwa kukazia
 
Kama wewe ni mwalimu tena wa Advance ni janga kwa Taifa letu.
Elimu yetu ni janga kubwa hakuna critical thinking Kabisa.
Hilo tukio la Kwanza ulilifuatilia hadi mwisho wake? Mganga wa kienyeji alikamatwa kwa kuwa alimweka huyo kuku kwenye uke wa mteja wake apate mtoto.[emoji23] Binti akawa anatoa harufu Kali ndo kuzidiwa na kwenda hospital.
Mbona haya matukio yanatokea sehemu maskini Sana.
Ulishawahi kuona wanafunzi wanaanguka mapepo pale UDSM[emoji23]
 
Kama wewe ni mwalimu tena wa Advance ni janga kwa Taifa letu.
Elimu yetu ni janga kubwa hakuna critical thinking Kabisa.
Hilo tukio la Kwanza ulilifuatilia hadi mwisho wake? Mganga wa kienyeji alikamatwa kwa kuwa alimweka huyo kuku kwenye uke wa mteja wake apate mtoto.[emoji23] Binti akawa anatoa harufu Kali ndo kuzidiwa na kwenda hospital.
Mbona haya matukio yanatokea sehemu maskini Sana.
Ulishawahi kuona wanafunzi wanaanguka mapepo pale UDSM[emoji23]
Kwasasa nimepata post ya kufundisha chuo😂
 
Kama wewe ni mwalimu tena wa Advance ni janga kwa Taifa letu.
Elimu yetu ni janga kubwa hakuna critical thinking Kabisa.
Hilo tukio la Kwanza ulilifuatilia hadi mwisho wake? Mganga wa kienyeji alikamatwa kwa kuwa alimweka huyo kuku kwenye uke wa mteja wake apate mtoto.[emoji23] Binti akawa anatoa harufu Kali ndo kuzidiwa na kwenda hospital.
Mbona haya matukio yanatokea sehemu maskini Sana.
Ulishawahi kuona wanafunzi wanaanguka mapepo pale UDSM[emoji23]
Kwaiyo uyo kuku alikaa katika tumbo la huyo mama Kwa takribani miezi tisa? Na aliwezaje kupita ukeni Hadi katika tumbo la uzazi?
 
Habari wapendwa,

Kwa tafsiri yangu ambayo sio rasmi, uchawi ni jambo ambalo huwezi kulielewa kwa akili ya kawaida lakini binadamu hulifanya jambo hilo na hata mtu anaelifanya huwenda hajui hutokea vipi. Jambo hili la uchawi pia haliwezi kuelezewa kisayansi kwasababu sio jambo linalofuata kanuni za kisayansi.

Binafsi naamini kwamba Kuna uchawi kutokana na kuwepo kwa matukio kadha wa kadha katika maisha ya kila siku. Lakini naona ajabu kabisa kuna watu wanapinga kabisa kuwa hakuna uchawi na watu hao husema hizo ni fix tu na story za vijiweni.

Kwa ambao hawaamini jambo hili, naomba mnipe ufafanuzi wa kisayansi kivipi matukio haya yanawezekana?

1. Kuna tukio la mama kujifungua kuku kule kigoma. Hili tukio ni maarufu sana ambapo Kuna mama alijihisi ni mjamzito na alihudhuria kliniki kwa kipindi cha ujauzito wake lakini ulipofika muda wa kujifungua huyu mama alijifungua kuku. Uzuri wa tukio hili lilithibitishwa na polisi pamoja na daktari na kutangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari. Sasa je kivipi jambo hili huwezekana katika hali ya kawaida?
Ripoti ya madaktari ilisema kuwa ni mambo ya kishirikina tu.

View attachment 2464851

2. Tukio la pili nililiona mwenyewe Kwa macho yangu. Ilikuwa Niko darasani nafundisha wanafunzi wa kidato cha sita, ghafla mmoja akapandisha kinachoitwa mashetani, hii huwa inawatokea watu wengi sana. Kupandisha mashetani pekee sio uthibitisho kuwa kuna nguvu za Giza lakini hile hali ya mtu mwenye mashetani kuwa na sifa flani ndio inanipa maswali mengi. Watu wengi waliopandisha mashetani huwa na nguvu sana.

Yule mwanafunzi aliepandisha mashetani alikuwa na nguvu kubwa kiasi aliweza kuwazuia takribani watu kumi na kuwabwaga wote na akafanikiwa kukimbia, wakati muda hana mashetani anakuwa hana nguvu hizo. Pia mtu mwenye mashetani hujigonga huko na kule Kwa nguvu kubwa na sometimes hata kujidhuru wenyewe lakini baada ya maombi flani watu hawa hutulia.

Swali langu ni kuwa watu hawa hupata wapi nguvu za kuweza kufanya yote haya? Je wanaigiza tu? Kama wanaigiza mbona hujidhuru sana? Kama ni matatizo ya kisaikilojia tu mbona hutibiwa kwa maombi na baada ya maombi hayo hali hukaa sawa?

Kwa lugha ya staha naomba tueleweshane🤝
yani wewe nio mwalimu means una upeo lakini unawaza kijinga nmna hii kweli afrika tumelaaniwa.hakuna tukio lolote hapo linalothibitisha kuna uchawi.hilo tukio la kwanza hizo ripoti za daktari umeziona au umesikia tu ,hizo documents za clinic uliziona au umesikia tu,utra sound ilifanyika ? umeona majibu yake au umesikia tu.hilo tukio la hao wanaochanganyikiwa akili ila wajinga wanaconclude kuwa ni mashetani ,kwanini wasiende kuwapima akili wajue shida iko wapi,hilo swala la maombi ni kuidanganya akili ,ina maana bila maombi angeendelea kupandisha milele?? mbona kuna wanaombewa lakini kesho anapandisha tena
 
Habari wapendwa,

Kwa tafsiri yangu ambayo sio rasmi, uchawi ni jambo ambalo huwezi kulielewa kwa akili ya kawaida lakini binadamu hulifanya jambo hilo na hata mtu anaelifanya huwenda hajui hutokea vipi. Jambo hili la uchawi pia haliwezi kuelezewa kisayansi kwasababu sio jambo linalofuata kanuni za kisayansi.

Binafsi naamini kwamba Kuna uchawi kutokana na kuwepo kwa matukio kadha wa kadha katika maisha ya kila siku. Lakini naona ajabu kabisa kuna watu wanapinga kabisa kuwa hakuna uchawi na watu hao husema hizo ni fix tu na story za vijiweni.

Kwa ambao hawaamini jambo hili, naomba mnipe ufafanuzi wa kisayansi kivipi matukio haya yanawezekana?

1. Kuna tukio la mama kujifungua kuku kule kigoma. Hili tukio ni maarufu sana ambapo Kuna mama alijihisi ni mjamzito na alihudhuria kliniki kwa kipindi cha ujauzito wake lakini ulipofika muda wa kujifungua huyu mama alijifungua kuku. Uzuri wa tukio hili lilithibitishwa na polisi pamoja na daktari na kutangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari. Sasa je kivipi jambo hili huwezekana katika hali ya kawaida?
Ripoti ya madaktari ilisema kuwa ni mambo ya kishirikina tu.

View attachment 2464851

2. Tukio la pili nililiona mwenyewe Kwa macho yangu. Ilikuwa Niko darasani nafundisha wanafunzi wa kidato cha sita, ghafla mmoja akapandisha kinachoitwa mashetani, hii huwa inawatokea watu wengi sana. Kupandisha mashetani pekee sio uthibitisho kuwa kuna nguvu za Giza lakini hile hali ya mtu mwenye mashetani kuwa na sifa flani ndio inanipa maswali mengi. Watu wengi waliopandisha mashetani huwa na nguvu sana.

Yule mwanafunzi aliepandisha mashetani alikuwa na nguvu kubwa kiasi aliweza kuwazuia takribani watu kumi na kuwabwaga wote na akafanikiwa kukimbia, wakati muda hana mashetani anakuwa hana nguvu hizo. Pia mtu mwenye mashetani hujigonga huko na kule Kwa nguvu kubwa na sometimes hata kujidhuru wenyewe lakini baada ya maombi flani watu hawa hutulia.

Swali langu ni kuwa watu hawa hupata wapi nguvu za kuweza kufanya yote haya? Je wanaigiza tu? Kama wanaigiza mbona hujidhuru sana? Kama ni matatizo ya kisaikilojia tu mbona hutibiwa kwa maombi na baada ya maombi hayo hali hukaa sawa?

Kwa lugha ya staha naomba tueleweshane🤝
Kumbuka pia kuwa mbali na uchawi, kuna miujiza pia. Miujiza siyo uchawi isipokuwa maelezo ya ufafanuzi wake hata wanasayansi hawana, bali Mungu peke yake
 
yani wewe nio mwalimu means una upeo lakini unawaza kijinga nmna hii kweli afrika tumelaaniwa.hakuna tukio lolote hapo linalothibitisha kuna uchawi.hilo tukio la kwanza hizo ripoti za daktari umeziona au umesikia tu ,hizo documents za clinic uliziona au umesikia tu,utra sound ilifanyika ? umeona majibu yake au umesikia tu.hilo tukio la hao wanaochanganyikiwa akili ila wajinga wanaconclude kuwa ni mashetani ,kwanini wasiende kuwapima akili wajue shida iko wapi,hilo swala la maombi ni kuidanganya akili ,ina maana bila maombi angeendelea kupandisha milele?? mbona kuna wanaombewa lakini kesho anapandisha tena
Usitake kuitumia level yangu ya elimu kuniaminisha msimamo wako, elimu na philosophy inasisitiza/inapendekeza kuwa na speculation, kuwa na doubt juu ya kila taarifa unayopewa.

Hata kama sayansi inapinga uwepo wa huo uchawi, Mimi sitakiwi kufuata msimamo huo Moja Kwa Moja, I have to take my part in speculating. Je unajua nini kinanisukuma kuamini hivi? Je unajua Kuna matukio mangapi nimeyaona yanayoweza nifanya niamini Iko kitu.

Usiconclude kuwa kila anae amini uchawi ni mjinga na atakuwa hana maendeleo. Imani hizi ziko duniani kote na bado huko Wana maendeleo tu. You can take a reference from the movies across the world. Movies and work of arts zinareflect maisha ya watu na imani zao. Hata movies za ulaya na Asia bado tunaona wanapotray imani za kishirikina, kwa mfano movies kama the nun, a scary story to tell in dark, the mummy, na nyengine Kwa mamiliona zimekuwa zinainclude iyo theme ya uchawi na wateja wakubwa wa izo movies ni wao wenyewe. Hii inaonyesha izo jamii zinaamini uchawi na imani za kishirikina lakini wao bado tunasema kuwa ni the most civilized societies na Wana maendeleo makubwa tu.

Kwaiyo kuamini mtu akiamini uchawi ni ujinga na chanzo Cha umaskini huo ni utaahira.

Lakini bado unanijibu Kuhusu nguvu wanazitia wapi?
 
Usitake kuitumia level yangu ya elimu kuniaminisha msimamo wako, elimu na philosophy inasisitiza/inapendekeza kuwa na speculation, kuwa na doubt juu ya kila taarifa unayopewa.

Hata kama sayansi inapinga uwepo wa huo uchawi, Mimi sitakiwi kufuata msimamo huo Moja Kwa Moja, I have to take my part in speculating. Je unajua nini kinanisukuma kuamini hivi? Je unajua Kuna matukio mangapi nimeyaona yanayoweza nifanya niamini Iko kitu.

Usiconclude kuwa kila anae amini uchawi ni mjinga na atakuwa hana maendeleo. Imani hizi ziko duniani kote na bado huko Wana maendeleo tu. You can take a reference from the movies across the world. Movies and work of arts zinareflect maisha ya watu na imani zao. Hata movies za ulaya na Asia bado tunaona wanapotray imani za kishirikina, kwa mfano movies kama the nun, a scary story to tell in dark, the mummy, na nyengine Kwa mamiliona zimekuwa zinainclude iyo theme ya uchawi na wateja wakubwa wa izo movies ni wao wenyewe. Hii inaonyesha izo jamii zinaamini uchawi na imani za kishirikina lakini wao bado tunasema kuwa ni the most civilized societies na Wana maendeleo makubwa tu.

Kwaiyo kuamini mtu akiamini uchawi ni ujinga na chanzo Cha umaskini huo ni utaahira.

Lakini bado unanijibu Kuhusu nguvu wanazitia wapi?
hizo ni movies wanaigiza kama jamii nyingi zinavyotaka ila hata wao wanajua kwamba ni movies tu na hawawezi kumleta mchawi yoyote afanye hayo kiuhalisia kwa maana hakuna kitu kama hicho ,kuhusu nguvu ni jambo la kawaida hata wewe unaweza kufanya jambo gumu baadae ukajishangaa kama ni wewe,inaweza kutokea hatari ghafla ukashangaa umeruka sehemu ambayo kwa kawaida usingeweza ,au ukapandisha hasira kali ukashangaa unampigana na mtu ambaye siku zote ulikua unaamaini kabisia humuwezi na watu wakadhanani umetumia nguvu za kichawi.so hizo nguvu za huyo mtu hazaithibitishi mashetani wala uchawi ,mimi dadaangu alikuwa na hayo matatizio ya akili akinywa pombe anapandisha hivyohivyo wamama wakiswahili wanapiga kelele eti kiti tulia mimi nilimdhibiti peke yangu tu hadi akilizake ziliivyotulia nikamwambia acha pombe huziwezi
 
Habari wapendwa,

Kwa tafsiri yangu ambayo sio rasmi, uchawi ni jambo ambalo huwezi kulielewa kwa akili ya kawaida lakini binadamu hulifanya jambo hilo na hata mtu anaelifanya huwenda hajui hutokea vipi. Jambo hili la uchawi pia haliwezi kuelezewa kisayansi kwasababu sio jambo linalofuata kanuni za kisayansi.

Binafsi naamini kwamba Kuna uchawi kutokana na kuwepo kwa matukio kadha wa kadha katika maisha ya kila siku. Lakini naona ajabu kabisa kuna watu wanapinga kabisa kuwa hakuna uchawi na watu hao husema hizo ni fix tu na story za vijiweni.

Kwa ambao hawaamini jambo hili, naomba mnipe ufafanuzi wa kisayansi kivipi matukio haya yanawezekana?

1. Kuna tukio la mama kujifungua kuku kule kigoma. Hili tukio ni maarufu sana ambapo Kuna mama alijihisi ni mjamzito na alihudhuria kliniki kwa kipindi cha ujauzito wake lakini ulipofika muda wa kujifungua huyu mama alijifungua kuku. Uzuri wa tukio hili lilithibitishwa na polisi pamoja na daktari na kutangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari. Sasa je kivipi jambo hili huwezekana katika hali ya kawaida?
Ripoti ya madaktari ilisema kuwa ni mambo ya kishirikina tu.

View attachment 2464851

2. Tukio la pili nililiona mwenyewe Kwa macho yangu. Ilikuwa Niko darasani nafundisha wanafunzi wa kidato cha sita, ghafla mmoja akapandisha kinachoitwa mashetani, hii huwa inawatokea watu wengi sana. Kupandisha mashetani pekee sio uthibitisho kuwa kuna nguvu za Giza lakini hile hali ya mtu mwenye mashetani kuwa na sifa flani ndio inanipa maswali mengi. Watu wengi waliopandisha mashetani huwa na nguvu sana.

Yule mwanafunzi aliepandisha mashetani alikuwa na nguvu kubwa kiasi aliweza kuwazuia takribani watu kumi na kuwabwaga wote na akafanikiwa kukimbia, wakati muda hana mashetani anakuwa hana nguvu hizo. Pia mtu mwenye mashetani hujigonga huko na kule Kwa nguvu kubwa na sometimes hata kujidhuru wenyewe lakini baada ya maombi flani watu hawa hutulia.

Swali langu ni kuwa watu hawa hupata wapi nguvu za kuweza kufanya yote haya? Je wanaigiza tu? Kama wanaigiza mbona hujidhuru sana? Kama ni matatizo ya kisaikilojia tu mbona hutibiwa kwa maombi na baada ya maombi hayo hali hukaa sawa?

Kwa lugha ya staha naomba tueleweshane🤝
Uchawi usipouzingatia haukudhuru
 
hizo ni movies wanaigiza kama jamii nyingi zinavyotaka ila hata wao wanajua kwamba ni movies tu na hawawezi kumleta mchawi yoyote afanye hayo kiuhalisia kwa maana hakuna kitu kama hicho ,kuhusu nguvu ni jambo la kawaida hata wewe unaweza kufanya jambo gumu baadae ukajishangaa kama ni wewe,inaweza kutokea hatari ghafla ukashangaa umeruka sehemu ambayo kwa kawaida usingeweza ,au ukapandisha hasira kali ukashangaa unampigana na mtu ambaye siku zote ulikua unaamaini kabisia humuwezi na watu wakadhanani umetumia nguvu za kichawi.so hizo nguvu za huyo mtu hazaithibitishi mashetani wala uchawi ,mimi dadaangu alikuwa na hayo matatizio ya akili akinywa pombe anapandisha hivyohivyo wamama wakiswahili wanapiga kelele eti kiti tulia mimi nilimdhibiti peke yangu tu hadi akilizake ziliivyotulia nikamwambia acha pombe huziwezi
Nimekuelewa, acha tuone maoni ya wengine
 
Unajuaje kuwa hayo matukio ni ya kweli?? Mimi niliwahi kufanya uchunguzi mdogo tu, hizo zote ni chai.
 
Back
Top Bottom