FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
- Thread starter
-
- #21
Fanya maamuzi mkuu,wakati n sasaNasubiria kidogo
Sasa tuamue,uamueinawezekana.ukiamua
Kwanini isiwezekane,kwani ugumu upo wapiHaiwezekani
Mkuu unastahili pongezi..Mi sijachepuka na sioni kama nitachepuka mwaka huu
Hajasoma kichwa cha habari tukutane ambao hatujafanya Mapenzi sasa analeta stori zake haiwezekani dahKwanini isiwezekane,kwani ugumu upo wapi
Tukubali kubadilika.. [HASHTAG]#UsipateUkimwi2017[/HASHTAG]Kama wote tukiwa wasema ukweli, basi huu uzi hautapata member hata mmoja. Kuna watu wapenzi wao wako nje ya nchi toka mwaka jana ila tayari washavunja na michepuko.
Pongezi kwako mkuu..Mimi sijafanya na sitofanta kabisa mwaka huu
Hongera mkuu,kweli ukiwa busy unajiepusha na mengi sana.Tangu mke wangu aende nyumbani kwao kujifungua, sijafikiria kabisa kuhusu kufanya mapenzi tofauti na mke wangu.Nilichojifunza ni kuwa 'busy' na kazi zangu binafsi, naingia kazini saa moja asubuhi natoka saa nne usiku, nafika nyumbani nimechoka naoga na kulala. Saa ngapi nitafikiria mapenzi, sina 'stress' mie.
Seriously?Mwaka wa nne huu naingia sijui nikijakufanya sitokuwa nimepoteza ubora....
Dunia Uwanja wa Fujo
Acha uzembe!Lengo Ni kupeana mbinu mbadala za kushnda matamanio japo vishawishi Ni vingi.Inawezekana bila ngono,inawezekana bila michepuko,Inawezekana bila Musterbation. [HASHTAG]#UsipateUkimwi2017[/HASHTAG] [HASHTAG]#UsipigeNyeto2017[/HASHTAG] [HASHTAG]#Usitoe0713[/HASHTAG]..