Ambao hatujafanya mapenzi mwaka2017 tukutane hapa..

Mimi mpaka sasa sijafanya ila jana kidogo nimle mtu
 
Tangu mke wangu aende nyumbani kwao kujifungua, sijafikiria kabisa kuhusu kufanya mapenzi tofauti na mke wangu.Nilichojifunza ni kuwa 'busy' na kazi zangu binafsi, naingia kazini saa moja asubuhi natoka saa nne usiku, nafika nyumbani nimechoka naoga na kulala. Saa ngapi nitafikiria mapenzi, sina 'stress' mie.
 
Wewe kijana siyo riziki eeh mbona unasema usitoe 0713 inamaana mwanzoni ilikuwaje? Embufafanua kidogo
 
Mwaka wa nne huu naingia sijui nikijakufanya sitokuwa nimepoteza ubora....



Dunia Uwanja wa Fujo
 
Kama wote tukiwa wasema ukweli, basi huu uzi hautapata member hata mmoja. Kuna watu wapenzi wao wako nje ya nchi toka mwaka jana ila tayari washavunja na michepuko.
Tukubali kubadilika.. [HASHTAG]#UsipateUkimwi2017[/HASHTAG]
 
Kwnza hata kuipa attention hadi kuifungulia uzi hukutakiwa.
 
Hongera mkuu,kweli ukiwa busy unajiepusha na mengi sana.
 
Acha uzembe!
Unaumri gani kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…