Ambao hatujafanya mapenzi mwaka2017 tukutane hapa..

Ambao hatujafanya mapenzi mwaka2017 tukutane hapa..

Dah... Yaani ndiyo mmeishiwa kiasi hichi???? [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Dah.... Mwanaume yakipita masaa 168 lazima usafishe tank... Manually au automatically...... Uchaguzi ni wako [emoji13] [emoji13]
 
Mimi nikajua huku ndiyo tunakuja kuchukuana....
Kuna raha kweli kujitangaza wewe ni bikra wa siku 14[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hivi sex wanawekaga sukari au inanywewa na chai!?ni vitafunwa au kinywaji?
 
Mimi nikajua huku ndiyo tunakuja kuchukuana....
Kuna raha kweli kujitangaza wewe ni bikra wa siku 14[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Inaonekana unapenda Sana kuchukuliwa,ILA kuwa makn,Kuna siku utachukuliwa na hautaludshwa...
 
Inaonekana unapenda Sana kuchukuliwa,ILA kuwa makn,Kuna siku utachukuliwa na hautaludshwa...
Hivi hauogopi kuniambia mwanaume mwenzio nitachukuliwa[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] . Kwanza ulivyoniquote mie nikajua kuna jambo nakuja kulijenga kwenye huu uzi[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Dah
 
Hivi hauogopi kuniambia mwanaume mwenzio nitachukuliwa[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] . Kwanza ulivyoniquote mie nikajua kuna jambo nakuja kulijenga kwenye huu uzi[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Dah
[emoji23][emoji23]Jenga tu muda unaruhusu,,, usije chukuliwa
 
Hivi hauogopi kuniambia mwanaume mwenzio nitachukuliwa[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] . Kwanza ulivyoniquote mie nikajua kuna jambo nakuja kulijenga kwenye huu uzi[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Dah
Hahaha,dah nmejkuta nacheka Tu.. Sorry mkuu km nmekukwaza
 
Back
Top Bottom