Ambao hatujahesabiwa na hatutahesabiwa tukutane hapa

Ambao hatujahesabiwa na hatutahesabiwa tukutane hapa

Mother House😁😁😁
E46uI.jpeg
 
Jamani mjiandae kuhesabiwa.
Mimi bado sijahesabiwa na sitahesabiwa.
Niko tayari kuhesabiwa endapo serikali itaweka wazi mfumo wake wa kuajiri B.O.T na TISS.
Kwenye issue za ajira muhimu wanabandika matangazo ya kazi ofisini kwao tu ila kwenye sensa na uchaguzi mpaka wahadzabe wanafikiwa.
Alfu kweli wew ndio unataka kufanya Kaz tiss na b.o.t hapana kwa kweli tulia tu na ujinga wako wakiwango hiki Ni Bora usihesabiwe mbuz Kam huyu nae unamuasabu vip

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni utopolo kama utopolo Mwingine wa wale Ndugu zetu nipo home toka asubuhi na hii ni jioni saa kumi kesho hawanikuti wapuuzi wao
 
Me nimewasubiri mpka saa 6 sijaona mtu nikaenda kufanya majukumu yangu
 
Back
Top Bottom