Ambao hatujahesabiwa na hatutahesabiwa tukutane hapa

Alfu kweli wew ndio unataka kufanya Kaz tiss na b.o.t hapana kwa kweli tulia tu na ujinga wako wakiwango hiki Ni Bora usihesabiwe mbuz Kam huyu nae unamuasabu vip

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni utopolo kama utopolo Mwingine wa wale Ndugu zetu nipo home toka asubuhi na hii ni jioni saa kumi kesho hawanikuti wapuuzi wao
 
Me nimewasubiri mpka saa 6 sijaona mtu nikaenda kufanya majukumu yangu
 
Huku niliko Tanganyika mpaka sasa reflector na vifaa vingine muhimu havijafika tumeamua kuingia mzigoni vifaa vitatukuta.
Mzee huko mbal.sisi wenyewe hapa karema tunapiga kaz.ifinsi huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…