Ambao hatujaoa.. Ni kazi ipi unaichukia zaidi home..

Ambao hatujaoa.. Ni kazi ipi unaichukia zaidi home..

Mpauko

R.I.P
Joined
Jan 19, 2019
Posts
2,323
Reaction score
3,428
Mabachela wenzangu mupooo..

Ebwana hizi kazi zingine bora kuoa tu nakwambia.. Kupika tu wali na samaki jiko limetapakaa vyombo huku na huko..

Sio ajabu siku tatu zinapita vyombo havijaoshwa.bNachukia sana hii kazi aisee

Wenzangu ni kazi gani inakukera sana huko magetoni hadi unatamani kuoa tu.
 
Mabachela wenzangu mupooo..

Ebwana hizi kazi zingine bora kuoa tu nakwambia.. Kupika tu wali na samaki jiko limetapakaa vyombo huku na huko..

Sio ajahu siku tatu zinapita vyombo havijaoshwa.. Nachukia sana hii kazi aisee

Wenzangu ni kazi gani inakukera sana huko magetoni hadi unatamani kuoa tu...
Kuosha viombo........
 
Mabachela wenzangu mupooo..

Ebwana hizi kazi zingine bora kuoa tu nakwambia.. Kupika tu wali na samaki jiko limetapakaa vyombo huku na huko..

Sio ajahu siku tatu zinapita vyombo havijaoshwa.. Nachukia sana hii kazi aisee

Wenzangu ni kazi gani inakukera sana huko magetoni hadi unatamani kuoa tu...
kuosha vyombo na kudeki
 
Mabachela wenzangu mupooo..

Ebwana hizi kazi zingine bora kuoa tu nakwambia.. Kupika tu wali na samaki jiko limetapakaa vyombo huku na huko..

Sio ajabu siku tatu zinapita vyombo havijaoshwa.bNachukia sana hii kazi aisee

Wenzangu ni kazi gani inakukera sana huko magetoni hadi unatamani kuoa tu.
Kula mgahawani
 
Back
Top Bottom