Ambao hatujaoa.. Ni kazi ipi unaichukia zaidi home..

Ambao hatujaoa.. Ni kazi ipi unaichukia zaidi home..

Kupika aisee na kuosha vyombo usafi ni changamoto ndo maana nina panya wengi majiran wanajiuliza mbona hawaishi wakiuliwa na vyumba vya jirani bado wanakuja maana washatumia geto langu kama sehemu ya uzalishaj na usambazaj

Ila wanaheshima akija mchuchu hawatokei kabisa kunitunzia heshima
 
[emoji16][emoji16][emoji16]oa tu mzte
Kupika aisee na kuosha vyombo usafi ni changamoto ndo maana nina panya wengi majiran wanajiuliza mbona hawaishi wakiuliwa na vyumba vya jirani bado wanakuja maana washatumia geto langu kama sehemu ya uzalishaj na usambazaj

Ila wanaheshima akija mchuchu hawatokei kabisa kunitunzia heshima
 
Kupika aisee na kuosha vyombo usafi ni changamoto ndo maana nina panya wengi majiran wanajiuliza mbona hawaishi wakiuliwa na vyumba vya jirani bado wanakuja maana washatumia geto langu kama sehemu ya uzalishaj na usambazaj

Ila wanaheshima akija mchuchu hawatokei kabisa kunitunzia heshima
Aisee!
 
Ww sasa ni mchafu tu wa asili.
Kupika aisee na kuosha vyombo usafi ni changamoto ndo maana nina panya wengi majiran wanajiuliza mbona hawaishi wakiuliwa na vyumba vya jirani bado wanakuja maana washatumia geto langu kama sehemu ya uzalishaj na usambazaj

Ila wanaheshima akija mchuchu hawatokei kabisa kunitunzia heshima
 
Back
Top Bottom