Ambao hatujawahi kuchanjwa chale wala kwenda kwa waganga licha ya kuishi kwenye mazingira yenye uchawi sana tukutane hapa

Ambao hatujawahi kuchanjwa chale wala kwenda kwa waganga licha ya kuishi kwenye mazingira yenye uchawi sana tukutane hapa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Swalama Wananzengo.
Kila mtu anazaliwa na kinga yake ya kimwili na ya kiroho.

Kinga nyingine tunaziongezea baada ya kuzaliwa kama kinga ya magonjwa ya surua, polio, kifua kikuu, dondakoo nk

Wengine sasa huenda mbali zaidi kwa kuongeza kinga za kiroho kwa kuchanjwa chale na waganga, kumezeshwa mafuta ya Mwamposa ili mtoto asidhurike (huu nao ni uganga new model).

Pia kuna sisi ambao tumekaa sehemu ngumu, kwenye urozi wa kila aina na wa kila rangi lakini hatukuyumbishwa.

Nimekaa sehemu zenye Wanyamanyafu, nimekaa kwa kina Ibambanghulu, mtu anatuna ndani ya nyumba anajaa nyumba nzima.

Sikufanya chochote juu ya mwili wangu na roho yangu.

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr
 
Acha kutudanganya, hebu angalia hapo kichwani karibu na utosi uone kama hamna chale tatu.

Mengine yalifanywa na wazazi wetu pasi kujua.

Mengine yamefanywa na wachawi tukiwa tumelala.
Dah, humu JF mbona ni mimi peke yangu sipati mkaguzi wa mwili wangu, anikague hadi utosi kwa kuhesabu nywele mojamoja?
Wakubwa mnafaidi sana
 
Swalama Wananzengo.
Kila mtu anazaliwa na kinga yake ya kimwili na ya kiroho.

Kinga nyingine tunaziongezea baada ya kuzaliwa kama kinga ya magonjwa ya surua, polio, kifua kikuu, dondakoo nk

Wengine sasa huenda mbali zaidi kwa kuongeza kinga za kiroho kwa kuchanjwa chale na waganga, kumezeshwa mafuta ya Mwamposa ili mtoto asidhurike (huu nao ni uganga new model).

Pia kuna sisi ambao tumekaa sehemu ngumu, kwenye urozi wa kila aina na wa kila rangi lakini hatukuyumbishwa.

Nimekaa sehemu zenye Wanyamanyafu, nimekaa kwa kina Ibambanghulu, mtu anatuna ndani ya nyumba anajaa nyumba nzima.

Sikufanya chochote juu ya mwili wangu na roho yangu.

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr
Nliwahi kupigwa chale za mvuto. Nilipotoka hapo nikawa nagombana na watu Kila siku
 
Swalama Wananzengo.
Kila mtu anazaliwa na kinga yake ya kimwili na ya kiroho.

Kinga nyingine tunaziongezea baada ya kuzaliwa kama kinga ya magonjwa ya surua, polio, kifua kikuu, dondakoo nk

Wengine sasa huenda mbali zaidi kwa kuongeza kinga za kiroho kwa kuchanjwa chale na waganga, kumezeshwa mafuta ya Mwamposa ili mtoto asidhurike (huu nao ni uganga new model).

Pia kuna sisi ambao tumekaa sehemu ngumu, kwenye urozi wa kila aina na wa kila rangi lakini hatukuyumbishwa.

Nimekaa sehemu zenye Wanyamanyafu, nimekaa kwa kina Ibambanghulu, mtu anatuna ndani ya nyumba anajaa nyumba nzima.

Sikufanya chochote juu ya mwili wangu na roho yangu.

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr
Wengi wanaojisifu hivyo tayari ni wachawi wakubwa na wanautumbo mkubwa wa kuwafanya wawe na kiu ya kuwanga. Hakuna sifa hio ya bila kuujua uchawi, tayari una zindiko la wazazi wako au la Babu Yako au bibi yako. Unawajua manyafu wewe wale wa Kinyika enzi hizo eneo la kiwira magereza au eneo la mbojo? Kabla hawajatimuliwa kwenda Sumbawanga Rukwa ?
 
Mungu yupo ananilinda .
1691128248452.png

Uwe na aibu japo kidogo
 
Asante mkuu maana kuna watu wanaamini hii kitu kuwa kila mmoja ameenda kwa mganga

Sisi home mambo haya wazee na kina bibi na kina mama wamekataa kabisa
Hakuna kuamini ujinga huu bali tunaamini kinga ya Mungu tu

Tunamuoamini Mungu na kila jambo likitokea liwe zuri au baya tunamshukuru

Haya wenye kinga ya uchawi hawaibiwi? Hawafiwi? Hawapati ajali?

Kwa hiyo mna maisha mazuri kwa kwa ajili ya chale?

Tulikuwa tunamjaribu mzee kwa kumuambia huyu ni mchawi yaani atakula fimbo mpaka basi
 
Back
Top Bottom