Ambao hatujawahi kupata ban tangu tujiunge tukutane hapa

MTU wa ivo mpotezee tu.
 
Ban kitu gani wewe kwani kuna mshahara au malipo fulani huwa tunakosa sisi wazoefu wa hizo ban?
 
unakaaje ni baadhi ya members wajinga-wajinga bila kuwapa facts kuhusu hali zao (nyie mnaita kutukana, lakini kiukweli ni kum-describe mtu alivyo)
1. Hakuna Uhuru nje ya Sheria.
2. Kama hapa jukwaa la kijamii kuna sheria, taratibu na kanuni za kuzingatia, basi kila pahala ni vyema kuzingatia na kuzitii sheria bila shuruti.
3. Ninapendekeza lianzishwe jukwaa la kushughulikia nidhamu za wanaJF (Jf mahakama) ili tufanye mazoezi ya utawala bora wa kufuata sheria. Mahakama ndiyo kiwe chombo cha kufanya maamzi ya utekelezaji wa adhabu. Siyo mtu mmoja afanye maamzi ya ban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…