Ambao hatuna Magari tukutane hapa!

Mkuu kuna uzi niliwahi leta hapa jinsi ya kupata gari kwa mkopo. Mimi kama mimi nilikwama japo nilipata watu ila walikuwa na masharti. Ila nilikomaa na baadae nilinunua gari mbili. Kwa sasa naweza nunua gari nilitakalo bila kukopa (ila namaanisha hizi gari za Toyota)
 
NENDAA UKAOMBEWE KWA.MWAMPOSA
UTAPATA MALORI KABISAA
 
Uninunulie na mm eenh [emoji847][emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…