Ambao hatuna Magari tukutane hapa!

Mkuu nipe nami huo mchongo[emoji19][emoji19]
 
Sasa wewe umejipanga vipi kulipata?
Ukoo wangu wote aliyewahi kumiliki gari ni mtoto wa nje wa marehemu babu (ba mkubwa) alikua ana mark 2 grande aliinunua baada ya kustaafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…