Ambao hatuna Magari tukutane hapa!

wazeee tupeni mbinu za kupata magari aiseee wenye nayo mlifanya fanya vip mkapata.. ?????
 
Binafsi gari yangu ya kwanza ilikuwa kama bahati tu, wakati natafuta gari kuna msela alikuwa anafanya kazi NBC ameingiza X-TRIAL na bahati mbaya hana hela ya kutolea, ikabidi aniuzie Hari yake nkamwambia sina hela ya kutosha akaniambia nimpe 2M and the remaining ntampa 500k per month mpaka tutakapomaliza.
 
Tunanunua mkuu...hamna siri ingine
 
Mkuu, hiyo ndinga bado unayo? Nipe na mimi kwa mkataba aisee[emoji34][emoji34][emoji34]
 
Zamani nilikuwa nasemaga hivyo, ndugu zangu wakija na magar kunisalimia wakiondoka nachungulia dirishani, Leo hii siamini ni Mimi au, gari mbili zimepaki nje, na nyumba juu tena mtaa wa maboss, Mungu kasikia kilio,. Na wewe hipo siku yako.
 
Mkuu nipe madili na mm nipate gari[emoji34][emoji34][emoji34]
Zamani nilikuwa nasemaga hivyo, ndugu zangu wakija na magar kunisalimia wakiondoka nachungulia dirishani, Leo hii siamini ni Mimi au, gari mbili zimepaki nje, na nyumba juu tena mtaa wa maboss, Mungu kasikia kilio,. Na wewe hipo siku yako.
 
Ndugu, mishahara ya watu unaijua au unaiskia?? Afanye saving ya laki 5 per month???

Kama mshahara wako haukupi uwezo wa ku save laki tano basi jua wewe utakuwa masikinni milele unless u do something. Huwezi ku save laki tano alafu unafikiria kununua gari [emoji23].
Panda daladala mpaka ufikie uwezo wa kununua gari.
Unajua roughly mafuta kwa mwezi ni shilling ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…