Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Mkuu naomba niulizie bei ya hiliHaya, kazi kwenu msio na magari.
Kuna jirani yangu anauza hii gari kwa beo nafuu kabisa...View attachment 1165346
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba niulizie bei ya hiliHaya, kazi kwenu msio na magari.
Kuna jirani yangu anauza hii gari kwa beo nafuu kabisa...View attachment 1165346
Anza mdogo mdogo nunua tairi weka ndani, engine, weka ndani taa weka ndani mpaka itakamilika tu
Ntajiunga na bongo movie walau nipate la kuigizia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....Huu utoto sasa
Sawa mkuuMkuu naomba niulizie bei ya hili
Anza mdogo mdogo nunua tairi weka ndani, engine, weka ndani taa weka ndani mpaka itakamilika tu
Hahhahahah ngoja na mm nianze kufata nyayo zenu za kuanza kumiliki matairiNimeanza kununua matairi kwanza
Kwa kweliHuyu sio mtu mzuri!
Nipe moja basiAsante Mungu mie ninayo mawili
Mungu kwakweli hata mie sijui nimeyapataje
Sifa heshima na utukufu ni kwake yeye aliye juu
Asante Mungu
No offense but this is a ridiculous idea to buy a carFanya kazi & Save
Hii ya installment ndio inatumika kununua gari za kifahari kama G wagon, Range rover na nyingine nyingi za zero kilometer.Kulipa kidogo kidogo?[emoji848][emoji848]
Mkuu unadhan kwa nini hela hiutwa "currency". Ukisave hela unakiuka kanuni za fedha. Unaweza save for 10 years ukajikuta hicho kiasi kimeshuka thamani.Mkuu mbona wengi tunafanya kazi na tuna save[emoji41][emoji41][emoji41] au tuvumilie hata miaka 10[emoji848][emoji848][emoji848]
Woyooooo [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Ivo yaani unamke ikitaka kukaribia tatizo linapotokea mara paaah! Imedrop mpaka nimeghairi kabisa kuwekea matairi manne bajeti yake.Mkuu mbona mie siana, nafanya bidii sana nikifikisha mil 3, najikuta salio lime drop mpk laki 2[emoji856][emoji856][emoji856] matatizo yani
Hahahaaha ndio umeshaninunulia gari etiShunie naomba niku text mp
Hahahaaha ndio umeshaninunulia gari eti
Asante Mungu mie ninayo mawili
Mungu kwakweli hata mie sijui nimeyapataje
Sifa heshima na utukufu ni kwake yeye aliye juu
Asante Mungu
Hahhahahah ngoja na mm nianze kufata nyayo zenu za kuanza kumiliki matairi
Hii ya installment ndio inatumika kununua gari za kifahari kama G wagon, Range rover na nyingine nyingi za zero kilometer.
Ukiwa na mzunguko mzuri wa hela ni rahisi kufanya hivyo.