Ambao hatuna muda na Christmas tukutane hapa...

Hivi mbona kila mwaka anazaliwa jamani!!??mi mwsnzio nafurah zangu kuwa free home leo tu Mambo mengine wanaodanganywa na siku moja wakazee
 
Mimi kwakweli nimepanga nizime leo so nasubiria tu saa 10 jioni nisogee maeneo nikapige safari zangu najua safari 12 zinanitosha
 
Hauko peke yako!

Hapa Kiluvya nimewapita machizi wanafyatua tofali kama hawana akili nzuri!

To them Christmas is just another day.
Hii ndio kuthibitisha kuwa maskini hana mapumziko

Merry Christmas mzee wa buza
 
Mi mwenyewe sii muumini wa sikukuu yoyote, sema leo nna furaha kidogo sababu ya mgeni wangu kama atajongea...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…