Ambao hatupendi mizigo tukutane hapa

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Wale ambao hatupendi kutumia simu kubwa kwa umbo tukutane hapa!
Kwa kifupi sipendezwi na simu pana na kubwa kwa umbo ndio maana napenda
iPhone 7 plain
iPhone 8 plain
IPhone SE
iPhone X
iPhone XS
Kwenye Samsung niliwahi kutumia Samsung galaxy Alha ila nilipoamia iPhone sitarudi tena misri [emoji23]naenda kaanani


Sent using IPhone X
 
Maisha yanaenda kasi sana, enzi zetu ukiwa na simu kubwa unachekwa,visimu vidogo ndio ilikuwa habari ya mjini nakumbuka ukiwa na Motorola v series wewe ndio bonge la mjanja
 
Ukitoka misri ukaenda kaanani kurudi Ni Ngumu japo changamoto zipo ila na sitatoka KAANAN labda kuwe na mabadiliko au kuwe na mji mwingine mpya.
 
Kukaa na kuishi na singo maza unatakiwa uwe na roho ngumu sana tena upate shahada ya uvumilivu. Kuna mmoja nilikuwa nae bahati mbaya mtoto akalazwa nikachukua jukumu la kumcare mimi si ndio baba.

Mara baba mtu akaja kuona zao lake niligeukwa na mama mpaka mtoto nikaambiwa tupishe tuongee mambo ya mtoto. Alivyotoka mtoto wodini nilianza kumchukia mtoto mpaka mama ukweli nilianzisha vita baridi ndani.

Ikabidi ajiongeze tu akaondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: amu
Na mimi nilihisi ndiyo maudhui ya thread!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iphone nzuri ni kuanzia X kuja juu...
Hizi 8 kurudi nyuma zimezidi bezel kubwa...

Sijui tunaelekea wapi....Na mwisho utakua wapi...

Samsung washagonga 6.9 inch kwenye flagship zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…