CHE Raptino
JF-Expert Member
- Mar 11, 2017
- 1,027
- 1,068
binafsi namfanyia mwanangu mm hata nikikumbuka sinaga timeNi kupotezeana muda tu. Haya mambo yanapendeza kwa watoto sio sisi wahenga
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Walimwagia bia kichwani,,,kama hakuwahi kufanyiwa ubatizo nafasi ilikua ndo hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi fanya sherehe aisee,ila siku hiyo huwa si isahau cos mama yangu lazima aikumbuke huwa hasahau yani hatakama tupo mbali she always calls me nakunambia happy birthday my baby, aaah huwa inanifanya nifikirie xana upendo wake mkubwa kwangu toka udogo had xaxa a damn grown man,huwa napiga Dear Mama - 2pac,there s nothing i cn pay hr bac,she s appreciated
mama yako alibeba ujauzito miezi9 ukazaliwa, si wote huzaliwa wengine hufa. pia alihatarisha maisha yake. kukutunza wewe mpaka uzaliwe maana yake alithamini maisha yako. sasa kwanini usifurahie siku yako ulipozaliwa? siku ukifa mama yako atalia kwa uchungu sababu hutakuwepo tena! mama yako anakukumbusha siku uliyozaliwa sababu hawezi kusahau siku aliyoleta kiumbe duniani. tafakari
Basi sherehe tumfanyie mamamama yako alibeba ujauzito miezi9 ukazaliwa, si wote huzaliwa wengine hufa. pia alihatarisha maisha yake. kukutunza wewe mpaka uzaliwe maana yake alithamini maisha yako. sasa kwanini usifurahie siku yako ulipozaliwa? siku ukifa mama yako atalia kwa uchungu sababu hutakuwepo tena! mama yako anakukumbusha siku uliyozaliwa sababu hawezi kusahau siku aliyoleta kiumbe duniani. tafakari
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifurahisha, kumbe unandevu[emoji39]yani na mindevu yangu naanza kupuliza mishumaa sijui kumwagiana maji na kulishana keki mmmh!!!
Wakuu, sijui ni mimi mshamba au uhafidhina unanisumbua.
Yani kwanza naona ambao husherekea sikukuu hasa wanaume ni kama walaini vile au hujifanya maisha ya kizunguu.
Kwanza siku yenyewe ya kuzaliwa huwa inapita bila hata kushtuka, nikija kukumbuka labda nikute mtu kaweka status, na inaweza pita mwezi ndo nakuja shtuka imepitiliza.
Najiuliza sijui ni mimi tu au kuna wadau kama mimi?
General Mangi
Mkuu kumbe hadi huku unapitaga,nimezoea kukuona kwenye uzi wa likes tuMimi mambo ya sherehe za kuzaliwa hapa hata wakati mwingine sikumbuki tarehe naona imepita.
Hapo kwenye Mungu kukuobgezea siku unakosea sana.Kusherekea sio lazima kufungua keki ndg. sergio 5 , hata kuamka mapema siku ya birthday na kufanya sala kumshukuru Mungu kwa kukuongezea siku inatosha sana
ahahahah sasa mwanaume ukiingia utu uzima afu ukose ndevu utakua na matatizoo ya homoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifurahisha, kumbe unandevu[emoji39]
[emoji39] [emoji39] [emoji4] [emoji4] hehehee wanitamanisha weyeahahahah sasa mwanaume ukiingia utu uzima afu ukose ndevu utakua na matatizoo ya homoni