Ambao madeni yetu hayajabadilika hata baada ya kufutiwa VRF tujuane


Lakin kwanin bodi ya mikopo wanajikanganya?vrf iliwagusa wote hata ambao walimaliza chuo kabla ya 2016 sasa iweje baada ya Mh Raisi kuagiza ifutwe watu wa loan board wamebuni sheria zao kwamba vrf before 1 May 2021 sasa kwa nin wasiifute kama walivyoweka vrf hata ambao ilikuwa haiwahusu ?ukiulza wanasema kwamba vrf imefutwa kwa wanufaika watakaomalza mwaka huu na kuendelea!!
 
Tumepigwa pakubwa.[emoji276]

Hawa watu wa loan board ni wajanja sana vrf walikuwa nayo kwenye data base yao wala haikuwa kwenye salary slip sasa kwanin hawataki kuiondosha?at vrf before 1 may 2021 ,Pia nasikia wao walisomeshwa na bodi lakin bod haiwadai
 
Nendeni bodi ya mkopo mpate statement. Mtu umekatwa pesa kipind chote hicho tenga nauli ufike bodi Ili waprint statement Kisha mpelekee mwajiri arekebishe.Acha kulalamika chukua hatua.
Nadhani mimi nilikuwa kati ya watu top ten walioanza kuchukua statement pale Tazara tarehe 1/7/2021 siku ya Alhamis nilifika pale saa moja na nusu nikahudumiwa saa tatu na robo
 
Hawa watu wa loan board ni wajanja sana vrf walikuwa nayo kwenye data base yao wala haikuwa kwenye salary slip sasa kwanin hawataki kuiondosha?at vrf before 1 may 2021 ,Pia nasikia wao walisomeshwa na bodi lakin bod haiwadai
Walikuwa wameificha. Ukichukua statement unakuta VRF before 1st May laki 5. Wamekalculate vipi hawana maelezo ya kueleweka
 
Walikuwa wameificha. Ukichukua statement unakuta VRF before 1st May laki 5. Wamekalculate vipi hawana maelezo ya kueleweka

Ni wahuni sana kama wangetaka kusaidia wanufaika wangefuta vrf kabisa hawa watu wa loan board sio wazalendo kabisa furaha yao ni kuona wanufaika wakiteseka,charges ambazo ni vrf na penalty zilifutwa lakini wenyewe bado wanazitoza hii sio haki kabisa,na haya yanafanyika Mkurugenzi wa loan board bado yuko ofisin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…