Ishi vizuri na watu marafiki watakutafuta wenyeweGood morning jf....
Tusio na marafiki tukutane hapa[emoji17]
Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia
Nimeipenda hii ajizungushe tujue shida yake sasaAnza na mimi hapa JF.
Tupo pamoja mkuuAnza na mimi hapa JF.
Hahahahhaah haki ya nanihivi kwa nini watu wanaogopa kuzikwa na manispaa?
Huyu kajifanya nunda vile anajimudu sasa akili ndo zinamrudi afate huu ushauri utamfaaMleta mada marafiki hawatafutwagi wanakujaga wenyewe,chamuhimu ni wewe kuhudhuria kwenye shughuli za majirani zako. Mfano misiba na sherehe au mambo ya kijamii halafu marafiki wa kweli utawapata kulingana na wewe ulivyo.
% kubwa ya marafiki wa mtaani huwa ni wanafki sana watakukera,we shirikiana nao kwenye mambo ya msingi.
Tatizo yaani watu wanapenda kufaidika wao tu...Mi naona kama ndio yatakayonikuta mbeleni.
Napenda urafiki ila urafiki siuwezi.
Huwa nakuaga rafiki wa faida sana ila sasa unakuta mwenzangu nikimchunguza naona kama shobo zimezidi upande wangu.
Na hakuna kitu sikipendi kama kuwa faida anapata yeye/wao mimi faida sipati
Kingine watu wakikujua jua sana nalo ni tatizo! Heshima inaoungua sana
Kinachobaki unakua tu na wale watu ambao unafahamiana nao ila siku likikukuta jambo kwakweli hamna wa kukukimbilia.
Najiona ntakavyokua kama FINCH
Hamna sio ununda..Huyu kajifanya nunda vile anajimudu sasa akili ndo zinamrudi afate huu ushauri utamfaa
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Good morning jf....
Tusio na marafiki tukutane hapa[emoji17]
Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia mbele halafu maisha ni kama nayaacha nyuma, ni kama naishi tofauti na umri wangu. Nimesogea umri wa kuozesha, kuondokewa na wapendwa (waliozeeka) na kukutana na mambo mengi ambayo nadhani yanahitaji watu....ila bahati mbaya sasa hao watu ndio sina.
Natamani kuwa na marafiki kuwa na watu, watu wa faida, watu ambao wanaweza kushare ramani za maisha, watu ambao tunaweza kupanga safari kwenda vituo vya wahitaji tukawape misaada, watu ambao nikihitaji kumwagilia moyo najua wapo, watu ambao nikikwama najua watakuwepo, kina mama wenzangu huwa wana vyama umuhimu wa vyama naujua ila mi hata chama sijawahi kuwa nacho....naishi mwenyewe mwenyewe tu hadi nawaza si nitakosa wa kunizika mie mwisho nizikwe na manispaa.
Wenye marafiki mnawapataje???
Kwasababu yeye rafiki yake mkubwa ni manispaa!,Sasa marafiki wengine hawapendi manispaa ndio maana nao hawataki kuwa rafiki na Evelyn wa chumvi!..😊Mmmh Eve kwanini ukose marafiki?
[emoji1787][emoji1787]hivi kwa nini watu wanaogopa kuzikwa na manispaa?
KhaaaaHawaweki taji la FRIEND [emoji23][emoji23]
The way unavyoongea iyo "napenda kwakweli Ila mi Sina"😂Kuna mdada huwa napenda ile life style, weekends hupost status wapo kwenye coaster wanaenda kutembelea yatima yani wanavibe hao, usiku wapo pengine wanamwagilia moyo....napenda kwakweli ila mi sina