Sawa muulize mlozi Mshana jr akupe mbinuKuna watu sjui hatuna hoja zenye nguvu au ni gundu, kila uzi unakosa wachangiaji
[emoji1787][emoji1787]
Hopefully hata huu utabuma tuu.
Mwanangu una kimaviKuna watu sjui hatuna hoja zenye nguvu au ni gundu, kila uzi unakosa wachangiaji
[emoji1787][emoji1787]
Hopefully hata huu utabuma tuu.
Bila kusahau na ule wa safari ya Mwanza.Kama unapost vitu watu hawapendi unadhan watachangia?
We si unaona ule wangu wa kumpenda uncle ulivyotembea
Nimecheka kweli aisee,vijana mna mambo kweliUshabuma Taali.
6hrs comments 4[emoji23][emoji1787]