Ambao tuko kwenye mapenzi na mpenzi mwenye mpenzi na wewe ukiwa na mpenzi mwingine etc Tujuane

Ambao tuko kwenye mapenzi na mpenzi mwenye mpenzi na wewe ukiwa na mpenzi mwingine etc Tujuane

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Heheheee hii Dunia tushinde game za home zote ni hatari nina demu anampenzi na Mimi nina mpenzi. Ukimuuliza umenikubalije hapati jibu ila tunabutuana vizuri japo kanaubahili wa shoo. Alhamdulillah nakashundua sio mbaya three nights a week and two excursions days.

Hii game ikoje leteni visa vyenu msilete habari zenu za katoliki imani ni nafsi ya mtu.
 
Heheheee hii Dunia tushinde game za home zote ni hatari nina demu anampenzi na Mimi nina mpenzi. Ukimuuliza umenikubalije hapati jibu ila tunabutuana vizuri japo kanaubahili wa shoo. Alhamdulillah nakashundua sio mbaya three nights a week and two excursions days

Hii game ikoje leteni visa vyenu msilete habari zenu za katoliki imani ni nafsi ya mtu
Mbona kama sikuamini, ebu tuwekee picha yenu mkiwa mnafanya kale kamchezo tuthibitishe ukweli
 
Heheheee hii Dunia tushinde game za home zote ni hatari nina demu anampenzi na Mimi nina mpenzi. Ukimuuliza umenikubalije hapati jibu ila tunabutuana vizuri japo kanaubahili wa shoo. Alhamdulillah nakashundua sio mbaya three nights a week and two excursions days

Hii game ikoje leteni visa vyenu msilete habari zenu za katoliki imani ni nafsi ya mtu
Hili ni tatizo la kijamii, si la kwako peke yako.

Iko hivii? :

Wanaume wote kwa ujumla wao kabisa huona kuwa kitu used ni nguo, gari ama vifaa vingine vya mtumba lakini siyo "k", "k" siku zote eti ni mpya na inagombaniwa!

Watu masaa24 wanachururuzukwa na udenda wa tamaa ya kupata "k" mpya ambayo tayari ni used!

Kupata na kutumia "k" mpya used kwa wanaume huita falagha, ni maradhi ya kisaikolojia!

Na falagha haitangazwi hadharani ni siri mojawapo ya vyumbani isiyostahili masimulizi!

Ujue kwa nini?

Kuna binadamu ki silka hawapendi upumbafu wanaoufanya wao kwa siri, ujadiliwe ama kusemwa kwa vyovyote vile!

Na wakisimama hadharani hukaripia sana matendo yao hayo wakisema kuwa huo ni uovu ama ni dhambi isiyotubika kuifanya!

Hili jambo mkuu halina haja ya kulifungulia uzi kumotivate watu wataje madhambi yao hayo kwa njia ya mjadala, wengine wana wivu watakupotosha kwa kukuongopea.

Lengo likiwa ni kutokubali kuzidiwa idadi ya wanawake aliotembea nao, ama aliokwishatembea nao basi usimzidi kwa idadi ya magoli uliyoyafunga kwenye mchezo huo wa kirafiki usiokuwaga na refa wala mhesabu magoli.
 
Hakuna cha kujuana huo ni Ushenzi na Kwa Wengine ni Kinyaa kbs, Kuingia Sehemu ambayo Una uhakika Kuna dume Mwenzio Kanjunja humo na Kumwagia ni mimbegu yake Wengine ni Kichefu chefu!
 
Eti mi nafikiria wewe ni ka bwana mdogo balehe inakusumbua,ndo maana umeanzisha hii thread [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Heheheee hii Dunia tushinde game za home zote ni hatari nina demu anampenzi na Mimi nina mpenzi. Ukimuuliza umenikubalije hapati jibu ila tunabutuana vizuri japo kanaubahili wa shoo. Alhamdulillah nakashundua sio mbaya three nights a week and two excursions days

Hii game ikoje leteni visa vyenu msilete habari zenu za katoliki imani ni nafsi ya mtu
Kumbe kwenye Uislamu wako unaruhusiwa kuwa na michepuko ya dizaini hiyo , eti enh?? Unautukanisha Uislamu Kafiri wewe!!!!
 
Hili ni tatizo la kijamii, si la kwako peke yako.

Iko hivii? :

Wanaume wote kwa ujumla wao kabisa huona kuwa kitu used ni nguo, gari ama vifaa vingine vya mtumba lakini siyo "k", "k" siku zote eti ni mpya na inagombaniwa!

Watu masaa24 wanachururuzukwa na udenda wa tamaa ya kupata "k" mpya ambayo tayari ni used!

Kupata na kutumia "k" mpya used kwa wanaume huita falagha, ni maradhi ya kisaikolojia!

Na falagha haitangazwi hadharani ni siri mojawapo ya vyumbani isiyostahili masimulizi!

Ujue kwa nini?

Kuna binadamu ki silka hawapendi upumbafu wanaoufanya wao kwa siri, ujadiliwe ama kusemwa kwa vyovyote vile!

Na wakisimama hadharani hukaripia sana matendo yao hayo wakisema kuwa huo ni uovu ama ni dhambi isiyotubika kuifanya!

Hili jambo mkuu halina haja ya kulifungulia uzi kumotivate watu wataje madhambi yao hayo kwa njia ya mjadala, wengine wana wivu watakupotosha kwa kukuongopea.

Lengo likiwa ni kutokubali kuzidiwa idadi ya wanawake aliotembea nao, ama aliokwishatembea nao basi usimzidi kwa idadi ya magoli uliyoyafunga kwenye mchezo huo wa kirafiki usiokuwaga na refa wala mhesabu magoli.
Mbona umeandika kwa uchungu sana
 
Heheheee hii Dunia tushinde game za home zote ni hatari nina demu anampenzi na Mimi nina mpenzi. Ukimuuliza umenikubalije hapati jibu ila tunabutuana vizuri japo kanaubahili wa shoo. Alhamdulillah nakashundua sio mbaya three nights a week and two excursions days

Hii game ikoje leteni visa vyenu msilete habari zenu za katoliki imani ni nafsi ya mtu
Aisw raha sana muwa na demu wa namna hiyo..yaani mnabatuana vizuri mkimaliza mnaanza kupiga story ya jinsi wapenzi wenu wengine wanavyowapea style mupya mupya. Mie kwa sasa demu ambaye hagegedwi na zaidi ya de libolo mbili wala hanivutii....mzeya huyo demu tunaweza kushare pamoja?
 
Back
Top Bottom