Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Sure . Ni match Ambazo team lovers canโt watch .mnaishi kwa historia na kujipa pressure bure
mi mwananchi na mechi naangalia maana mamelod ni kipimo sahihi
nyau nae anayo nafasi kama ataacha ujinga wa nzi
Simba afungwi kwa mkapa mzee . May be drawKitu kimesimama' 5G kwa Nkapa Mamelodi hatoki Ntu huyo wa Al Ahly kitakachomkuta Mimi msinihusishe kabisa
We subiri usife na presha ya kupanda tu siku hio umeze Panadol extra mpira kabla haujaanza tusije tukakupoteza hakikisha unamezea na Mo extraSimba afungwi kwa mkapa mzee . May be draw
Wakishafungwa wacheze na kuimba hivi hivi wasibadirishe steps na wacheke hivyo hivyo km wanavyocheka kwenye clip hii, maana kitakachowakuta Mimi simo
Wakishafungwa wacheze na kuimba hivi hivi wasibadirishe steps na wacheke hivyo hivyo km wanavyocheka kwenye clip hii, maana kitakachowakuta Mimi simo
Njoo nayo uwanjani urudi umeivua aibu njia nzima, kufungwa kupo palepale
Nitapata matokeo asubuhiMimi nitakuwa busy na kazi kwa siku zote mbili. So sitaweza Hata kufatilia.
Na shauri : Wazee wa pressure hizi match wasiangalie. Kama una mzee shabiki wa hizi team akae mbali na TV Unaweza Mpoteza.
๐๐๐ Goli ni nyingi sana . Vijana wa kariakoo wamelamba joker ๐.
Wamepotea njia, wameibukia Jeshini ๐๐ mwendo wa doso tu .
kazi wanayo . Weekend hii
Mind game, kesho wote wapohizi mechi nuksi tu. yanga 5 players amna. what's the point of watching that game
Wewe mbona unakuwa lodi lofa kiasi hiko? Kuna mtu amekulazimisha uwe unaangalia mechi za Simba ama Yanga? Si ukafanye unachojisikia kufanya. Unajiona mtu gani special kiasi cha kushindwa kuangalia mechi kwako iwe big deals kwetu. Acha undeziHizi mechi ๐ฎ๐ฎ. Nimekosa zote