Amber lulu asema alipata division two ya 34

Amber lulu asema alipata division two ya 34

Hiyo ilikuwepo enzi hizo za elimu ilopokologwa ambapo kulikuwa na div 4 ha point 44.
 
Nadhani wanaongea uongo makusudi ili waongelewe kwenye media. Pia yule aliyedai ana miaka 19, body language utajua alikuwa anadanganya uku anajua waliokuwepo pale wanajua anadanganya!
 
Mimi nilishasema hizi PAPUCHI zinatuaminisha mambo mengi ambayo hayana uhalisia! Utaona mtoto safiii, kumbe ni MBUTE tu!!!
 
Hii ndo critical thinking
Labda katika shule yao waliopata division two walikuwa 34 au zaidi (serial number), hivyo amehesabu two ya mtu wa kwanza mpaka wa 34 na ndio iliyokuwa na jina lake.
 
Alidai kuwa hakumbuki, ila mwandishi ndio alim-force.
 
Mabaharia tunasem 2014 kulikuwa na mfumo wa GPA ktika matokeo
Distinction 1
Merit 2
Credit 3
Pass 4
 
Back
Top Bottom