kidochi og
Member
- May 27, 2020
- 45
- 74
Haimtambui kama shoga kwani kilichomfanya ahukumiwe si ni ushoga? Vipi haimtambui?Sheria za magereza haimtambui kama shoga inamtambua kama mwanaume, so atawekwa upande wa wanaume.....
Ova
Point ni magereza inamtambua kama dumeHaimtambui kama shoga kwani kilichomfanya ahukumiwe si ni ushoga? Vipi haimtambui?
Kuna jamaa watafaidi sana...uwepo wa James humo ndani..Sheria za magereza haimtambui kama shoga inamtambua kama mwanaume, so atawekwa upande wa wanaume.....
Ova
Aisee! Mkuu hii comment yako imenichekesha sana...Kwahiyo ndugu hakimu na wazee wa baraza waliziangalia video na kujiridhisha?
Nauliza tu
Gesti zote ziwekwe CCTV vyumbani hasa gesti za Dar, Dom, Mza na ArsSerikali ifunge kamera kila paa la nyumba naamini watakusanya trilioni nyingi sana kwa mwezi mmoja tu kama faini ya wala na waliwa tigo.
TRA itangaze tenda ya kumpata mzabuni wa kufunga kamera kwenye paa za nyumba za watanzania waanze kukusanya faini mwaka wa fedha 2021.
DuhGesti zote ziwekwe CCTV vyumbani hasa gesti za Dar, Dom, Mza na Ars
Sasa mapozi kama hayo anataka nnGesti zote ziwekwe CCTV vyumbani hasa gesti za Dar, Dom, Mza na Ars
Kuna wasamaria wengi wanapenda kwenda kumlipia Delicious hiyo fine Ila tu isitangazwe Ni Nani. Maana shekh wangu memsapu akisikia umetoa milioni tano.......!!!!!! Kulipia ubwabwa ilhali mama nae anaupika nyumbani.....Katika kulipa fine ya mahakama Kuna kujiandaa
Mzee, ndomana wamepewa muda waende gerezani au wakamilishe fine hiyo
Ova
Hapa ndio napata kigugumizi kuhusu ushoga,kama ni hisia au njaa tuJames Delicious licha ya ushahidi, alikuwa anauza mku.ndu kwa njia ya mtandaoni, alikuwa amejaa mitandaoni, Telegram na kwingineko alikuwa akijiuza wazi wazi, nimepitia mitandaoni kwa muda mrefu, je unajua labda walimwekea mtego gani latika kutafuta ushahidi? Huwezi jua labda kuna mtu alijifanya mteja huko mtandaoni na kuahidi kukutana nae sehemu ili wafanye yao. Mara ya mwisho alipokuwa akisakwa alikimbia Dar na kuelekea Mwanza na bado alikuwa anauza kwa njia ya mtandao.
Hahaa ni kweli mkuu hasa mikoa ya pwaniSerikali ifunge kamera kila paa la nyumba naamini watakusanya trilioni nyingi sana kwa mwezi mmoja tu kama faini ya wala na waliwa tigo.
TRA itangaze tenda ya kumpata mzabuni wa kufunga kamera kwenye paa za nyumba za watanzania waanze kukusanya faini mwaka wa fedha 2021.
Memsapu ndo nanKuna wasamaria wengi wanapenda kwenda kumlipia Delicious hiyo fine Ila tu isitangazwe Ni Nani. Maana shekh wangu memsapu akisikia umetoa milioni tano.......!!!!!! Kulipia ubwabwa ilhali mama nae anaupika nyumbani.....
Haya mambo ni ya kishetani mkuu hayausiani na dini ya mtu.
Kuna kijana wa kiume James Delicicous sio muisilamu lakini anakatikia mb()() kama anamota kiunoni.
Ulishaambiwa ukienda kujisaidia haja kubwa na kujamba mknd* ni mali yako ila ukiutumia kinyume na matumizi hayo ni mali ya jamhuri.
Hukumu imetolewa leo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu DSM
Washtakiwa wameshindwa kulipa faini na hivyo wamepelekwa gerezani kuanza kutumikia adhabu yao.
=====
Nimezingatia hoja za pande zote mbili na athari za makosa haya, ni kweli washitakiwa wote vijana na wanategemewa, nimeona mshitakiwa wa kwanza anajutia, kutokana na mazingira ya kesi hii adhabu yake ni miaka 30 kila kosa ambapo nikiwafunga mtapotea kabisa" amesema Hakimu Mkazi Mfawidhi Godfrey Isaya
"Hivyo kwa mazingira mliyoyasema na lengo la adhabu ni kujirudi, mshitakiwa wa kwanza utalipa Milioni 3 ama jela miaka 5 (Amber Rutty) mshitakiwa wa pili utalipa faini ya milioni 3 ama jela miaka 5 (Said Bakary ) na mshitakiwa wa tatu faini milioni 5 ama jela miaka 5 (James Charles) na adhabu zitaenda sambamba" ameongeza
[emoji23] [emoji23] Mzee wa baraza ndio alikuwa kila mar@ ănaomba irudiweKwahiyo ndugu hakimu na wazee wa baraza waliziangalia video na kujiridhisha?
Nauliza tu
Unajua yanayofanyika kwa siri?Mimi naungana na anayesema kosa lilipaswa kuwa kusambaza video na si hilo la kuingiliwa kinyume!Acha kuwatetea hao firauni.. Mungu akileta moto kama Sodoma na Gomora, utateketea hata wewe usiyehusika.. Miili ni yao.. Ila vitendo wanavyofanya vinahatarisha hata usalawa wako, wewe usiyehusika!