nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Mimi huwa najiuliza. Wanaanzaje kujirecord wakiwa wanajamiiana? Yaani lengo hasa huwa ni nini?Tatizo ni video kuwa public otherwise hakuna jipya hata angembatwo kwenye masikio,ni mtazamo wangu tu.