"Amber Ruty" anaweza kuigiza filamu za ngono

"Amber Ruty" anaweza kuigiza filamu za ngono

  • mimi nadhani BASATA nao ni jipu tuu kila mara wanawaita na kuishia hapo. au wanapowaita huwa wanatoa maelezo ambayo yanatosha kuhalalisha huu upuuzi wanaopost kwenye mitandao. mimi siyo mjuvi wa sheria lakini kwa haya yanayoyanayoendelea kuwekwa kwenye mitandao yanaonyesha ni aina gani ya jamii tuliyonayo kwa sasa. Viongozi husika wanaweka vishoja na kusoma magazeti kwenye STK. kana kwamba haya hawayaoni . inatiashaka sana kama mtu haogopi hata mamlaka zinazohusika na mwisho wa siku abajuwa anafungia lakini upuuzi wake ataendelea kuufanya. kama mtu anahaja ya kufanya upuuzj huu mbona yapo mataifa mengi tu yanayoruhusu haya waende.
 
Ni mchezo mchafu ambao sasa umeanza kuoneshwa wazi baada ya kuwa unazungumzwa na baadhi ya mastaa wa muziki wa bongo flavour na hata baadhi ya waigizaji wa filamu za hapa kwetu Tz,,,,,ipo mifano mingi sana kutoka kwa wasanii hao wa filamu na muziki ambao kwa vipindi tofauti wamekuwa wanajinasibu kuwa wanajua mapenzi (mahaba) na kuwa wanaweza kulala na mwanaume yoyete mwenye fedha kuanzia Mil 1 nakuendelea.

Kwa maana nyingine tunaweza kusema baadhi ya wasanii hao wamekuw wakitangaza soko la kuuza miili yao kwa kutumia kigezo cha Ku trends (Kiki) kwenye mitandao.

Mwanzo zilikuwa ni hisia kwamba mchezo wa kufanya ******************* ipo ingawa hakukuwa na ushahidi wa kutosha.

Kulingana na video clip iliyorekodiwa na watu wasiojulikana wakati Umber Rutty akifanya mapenzi ******************* imetosha kuamini kuwa wapo wasanii wengi ambao wanafanya mchezo huo mchafu chini chini.

Kwa maana hiyo baadhi ya wadau wameshauri BASATA kuchukua hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kuwafungia kufanya kazi wasanii wakike wataobainika kuwa na mwenendo wa maisha unaotia shaka kutokana na mtindo wake wa maisha wa kila siku.
View attachment 910504
Wakuu naiomba hiyo clip nami nifaidi kwa macho
 
Vyombo vya habari UCHWARA na mashabiki maandazi ndio wanaowapa watu hawa nafasi ya kuwa maarufu, wachache sana wana vipaji na wanaishi kwa kazi hiyo wengi ni wahuni tu, tunawashabikia wakina Wema, Uwoya na wengine wengi, ila si kwaajili ya kazi zao bali upuuzi wao, imagine idadi ya followers walio nao ndio utagundua tatizo ni sisi kushabikia mambo ya kipuuzi.
Inashangaza sana kuona Wema anaitisha Press na waandishi wanaenda hapo utaona kuna tatizo kubwa katika jamii yetu na hakuna anayesema. Inasikitisha sana.
Kweli kabisa
 
Ni mchezo mchafu ambao sasa umeanza kuoneshwa wazi baada ya kuwa unazungumzwa na baadhi ya mastaa wa muziki wa bongo flavour na hata baadhi ya waigizaji wa filamu za hapa kwetu Tz,,,,,ipo mifano mingi sana kutoka kwa wasanii hao wa filamu na muziki ambao kwa vipindi tofauti wamekuwa wanajinasibu kuwa wanajua mapenzi (mahaba) na kuwa wanaweza kulala na mwanaume yoyete mwenye fedha kuanzia Mil 1 nakuendelea.

Kwa maana nyingine tunaweza kusema baadhi ya wasanii hao wamekuw wakitangaza soko la kuuza miili yao kwa kutumia kigezo cha Ku trends (Kiki) kwenye mitandao.

Mwanzo zilikuwa ni hisia kwamba mchezo wa kufanya ******************* ipo ingawa hakukuwa na ushahidi wa kutosha.

Kulingana na video clip iliyorekodiwa na watu wasiojulikana wakati Umber Rutty akifanya mapenzi ******************* imetosha kuamini kuwa wapo wasanii wengi ambao wanafanya mchezo huo mchafu chini chini.

Kwa maana hiyo baadhi ya wadau wameshauri BASATA kuchukua hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kuwafungia kufanya kazi wasanii wakike wataobainika kuwa na mwenendo wa maisha unaotia shaka kutokana na mtindo wake wa maisha wa kila siku.
View attachment 910504
Bei gani kumpata Amba?
 
Back
Top Bottom