nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wote ni wafuasi wa Amber Rutty wamekuja kuona kiongozi wa chama chao.
Unacheka au wewe ndiye promota wa huo usiku wa Amber Rutty? [emoji15] [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mbuzi pori wa pasaka niache[emoji57][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unacheka au wewe ndiye promota wa huo usiku wa Amber Rutty? [emoji15] [emoji15]
Role model asiye na shaka, no wonder anapokewa kwa nderemo kila aendapo.Kumbe ni lirolumodo la teenagers sikuwahi jua hii kitu[emoji134]
naona kuna jamaa ameinama anachungulia nin sijuiYule msanii celebrity class A,mwanadada mwenye talent kubwa kabisa barani Afrika,role model kwa wasichana teenagers na wanafunzi wa kike ametikisa mji wa mtwara kwa kufanya show kali iliyowaacha hoi waliohudhuria
Ikumbukwe majuzi alipata mapokezi makubwa sana akiwa na mumeweambaye pia ni musician
wadau wa burudani tunawapongeza sana kwa ushirikiano mlioonyesha kwa Amber ruty na mumewe
View attachment 1075104
Kwa kweli nikiangalia mdomo wa huyu dada namkumbuka yule mama CHAI JABAYule msanii celebrity class A,mwanadada mwenye talent kubwa kabisa barani Afrika,role model kwa wasichana teenagers na wanafunzi wa kike ametikisa mji wa mtwara kwa kufanya show kali iliyowaacha hoi waliohudhuria
Ikumbukwe majuzi alipata mapokezi makubwa sana akiwa na mumeweambaye pia ni musician
wadau wa burudani tunawapongeza sana kwa ushirikiano mlioonyesha kwa Amber ruty na mumewe
View attachment 1075104
naona kuna jamaa ameinama anachungulia nin sijui
Mtwara ni kati ya mikoa yenye wabunge wengi wa Upinzani mzeeWatu wa Ntwara bana!
Ndo maana hata sisiem wakienda huko wanashangiliwa tu