Wanajamii wanaojua kimombo, nina wasiwasi na hii kauli, pale mtu uliyempigia na "kumkosa" anapokupigia na kusema;
"....nimekuta MISSED CALL yako!"
Nijuavyo mimi, inapaswa kubadilika na kuwa MISSING CALL yako, kwani The "Missed Call" ilinayoonekana kwenye display ya simu yako ni past( wakati ule ambapo ulipaswa kuipokea)
NOW here it IS....
Help anyone?
nimekupata BUT kauli yako kwa aliyekupigia kwa wakati huu inapaswa kuonesha wakati uliopo