kimanu
Senior Member
- May 31, 2013
- 196
- 64
Wanajamii wanaojua kimombo, nina wasiwasi na hii kauli, pale mtu uliyempigia na "kumkosa" anapokupigia na kusema;
"....nimekuta MISSED CALL yako!"
Nijuavyo mimi, inapaswa kubadilika na kuwa MISSING CALL yako, kwani The "Missed Call" ilinayoonekana kwenye display ya simu yako ni past( wakati ule ambapo ulipaswa kuipokea)
NOW here it IS....
Help anyone?
"....nimekuta MISSED CALL yako!"
Nijuavyo mimi, inapaswa kubadilika na kuwa MISSING CALL yako, kwani The "Missed Call" ilinayoonekana kwenye display ya simu yako ni past( wakati ule ambapo ulipaswa kuipokea)
NOW here it IS....
Help anyone?