Ambrose Dunga: Producer aliyezivunja vunja Bongo Records, MJ Records kwa ma-beat makali yenye 'back vocals'

Huyu ni Sharifu alikuwa ana staili ya kuimba mashairi ya kibabebabe hivi,nilipenda sana staili yake. Huyo anayemzungumzia mdau hapo ni Stan Boy ameimba pia na AY katika wimbo Wa "Mademu watafutaji" kama sikosei

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stan Boy ndugu siyo Stand. Yeah dogo alikuwa anaimba rnb hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka habari za jmosi.
Kuna comment yako moja naona umeifuta.
Reason behind? Umegundua kuwa ulikunya pumba?
hukunielewa mkuu, comment yangu ilikua kukupongeza ila kinyumenyume. Niliandika 'NDO MAANA WATU WANAKUSHUTUMU MWANAUME KUTOKANA NA MAMBO UNAYOANDIKA IKIWEMO TOPIC HII YA DUNGA UMETUMIA KNOWLEDGE KUBWA TOFAUTI NA WANAWAKE WENGI WANAVYOFUATILIA MAPRODUCER WA MZIKI'
So nilikusifu tu wala sikukushutumu kama ulivyodhani. Ila sorry maana hili jambo laonekana limekukera.
 

Nimekusoma nimekusoma kiongozi!
Unatumia browser ku-access JF?
Unaionaje hii "outlook' mpya. Mie sijaipenda kwa kweli. ipo ovyo ovyo
 
Nimekusoma nimekusoma kiongozi!
Unatumia browser ku-access JF?
Unaionaje hii "outlook' mpya. Mie sijaipenda kwa kweli. ipo ovyo ovyo
Japo aliyeulizwa si mimi, lakini najibu swali, mabadiliko sio romantic kabisa. Natumia browser naona muonekano huh hauko poa, wameondoa mpaka zile trending thread, na hata aina ya maandishi (font) sio nzuri. Iliyoondolewa ilikuwa nzuri sana kuliko hii mpya
 
Bila shaka back vocal ya chege nyimbo ukimuona mwanayumba ile vocal pale mwisho kasimama yeye inakwenda ivi MWANAYUMBAAAAAA kuna vocal la kibabe pale ni dunga yeye bila shaka√√√√√√√ hatari sana.
 
Hata app hivyohivyo tu

Time will Tell!
 
Dj Fetty!? Acha mzaha Ndugu. Anajua nini?
 

"The Rain (Supa Dupa Fly)" by Missy Elliott sampled Ann Peebles's "I Can't Stand the Rain". Hii ndio Moja kati ya ngoma Kali nazozielewa kutoka kwa Missy Elliot.
 
Huyo dogo nilisikia alienda zake USA
 
Unajua wanawake kama ww ni adimu maana unajua history ya Music kuna mmoja nlikutana nae yan ww kaeka like it anajiangalia anavokatika nkaona dah sio poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza hapa vipi YouTube haiwezi files ku-corrupt na kila kitu kupotea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…