Ambrose Dunga: Producer aliyezivunja vunja Bongo Records, MJ Records kwa ma-beat makali yenye 'back vocals'

She performs - Ngwair ft TID haukutengenezwa 41 records,ulitengenezwa Studio 69 na hiyo Sauti unayosema sio Dunga ila ni sample vocal ambayo imetumika sana pia kwenye nyimbo za Ulaya.

Iphone 11 Pro Max
Na wanaitaja kabisa Studio 69
 
Na wanaitaja kabisa Studio 69

It not always that way!
Kuna scenario producer anaenda kutengenezea Beat kwenye studio tofauti na yake.

A.M Records kuna ma-producer zaidi ya watatu, lakin haimaanishi kila wimbo kutoka AM Records katengeneza Manecky.

MJ Records kuna ma-producer kibao sasa hivi, lakin sio kila ngoma ya M.J Records katengeneza Marcho Chali!
 
Ilo baba styles la noorah ata angelitoa kesho kama song jipya lingekua hit song.
Huyu Noorah sijui ana kichwa gani aisee. Nakumbuka tulikosana na rafiki yangu sababu ya wimbo LUGHA GONGANA. Jamaa akawa ananiambia yale majibizano ni vikatuni😁 kwakuwa hakuna mtu anaweza kutunga. Nikamuuliza kwahiyo hizo katuni zimejitengeneza? Ikawa mwisho wa urafiki wetu kwasababu mimi mbishi na najifanya mjuaji.
 
Got ya!
 
Ulipomtaja timberland
Nikaikumbuka ngoma moja niliyokuwa naipenda mnoo kipindi hicho! Ice box ya omarion. Ile back vocal ya I’m so cold ilivyotamu,ilinifanya ile nyimbo niwe naiita im so cold.

Ulipotaja hapo kwenye unbeaten record tulivyosimamishwa na man u umenikumbusha machungu niliyoyazika miaka kadhaa nyuma.
Numbisa mtu kaniharibia shibe ya futari huku.

Ahsante kwa kumbukizi murua, jamaa ana mchango mkubwa mnoo katika muziki wetu wa ubongo wa fuleva.
 
Dunga alikua mkali ila not on the par na wakali Majani na MJ. Dunga hakuwakimbiza hao magwiji ila their time was up nothing lasts forever. Hawa jamaa single-handedly carried bongo fleva.

Aidha kila producer ana kitu kama signature kwenye productions zake; ukisikia beats za Kanye West are very soulful; Swizzbeats kuna zile drums zake karibu kwenye kile ngoma yake, vivyo hivyo Timberland na Dunga na back vocals zao. Bongo fleva ya miaka ile ilikua tamu sana while it lasted.
 
Hivi ule wimbo wa Anita wa matonya ile video ilishutiwa Kijiji gani hapo dar mbona sielewi?
pale kariakoo tuna_shamba letu,huyo matonya alikuja kuomba location hapo tukamwambia haiwezeakani hadi tuvune.

hvyo tulimuelekeza aende kijiji cha gongo la mboto enzi hizo ndio akatoa hilo chupa,sana sana tulimuazima libaiskeli liitwalo ANITA

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu mimi sijaridhika kabisa Mama Debora kumfananisha Timbaland na producer yoyote. Kwenye swala la production "Timbaland is a God" hana wa kufananishwa nae! Mimi nina collection ya nyimbo zote alizo produce huyo jamaa. Kuna wimbo mmeusahau wa Missy Eliot unaitwa "Cant stand the rain" daaah yule jamaa ni mtu mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…